SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,117
- 8,096
Tigo 35 GB kwa 20,000/= smile 5 GB kwa 42,000/= eti kisa 4G network
Mkuu hizo bei sio za SMILE and not SMART?
Tigo 35 GB kwa 20,000/= smile 5 GB kwa 42,000/= eti kisa 4G network
Excel hilo la uvamizi wa wageni nchini linanikera sana.unakuta watu kutoka nje anaingia nchini kama chooni.tena wengi wao hawana hata shughuli maalum. Wengi hawana nia nzuri hapa nchini. Na serikali imekaa kama mtazamaji tu.Hii Tanzania bwana!
Kila mtu anafanya analoona ni bora kwake kufanyika...
Mitandao ya simu inasumbua,
Raia wa nchi nyingine mpaka makomandoo nao wanakuja tu na kuishi bila bughudha wala kufuatiliwa,
Ajira watu wanapeana wao kwa wao kama vile wao tu ndiyo wamesoma na wana sifa,
Katiba imekuwa dili, mpaka sasa wameshalamba mamilioni ya TAS huku waalimu wakilamba chaki kila siku..!
Ukijitoa kuwa msamaria mwema na kuripoti uhalifu, basi wewe unakuwa sample...
(napita jamani...)
4G my ass
Mmmxxxxxxiiiiiuuuuuuu
your ass ina mahusiano na SMART au TIGO mkuu!
4G is your ass?4G my ass
Mmmxxxxxxiiiiiuuuuuuu
4G is your ass?
:wacko:
Sasa hivi ni Tsh 100 kwa siku 30 smart kwa smart, na vifurushi kedekede
Mkuu hizo bei sio za SMILE and not SMART?
Excel hilo la uvamizi wa wageni nchini linanikera sana.unakuta watu kutoka nje anaingia nchini kama chooni.tena wengi wao hawana hata shughuli maalum. Wengi hawana nia nzuri hapa nchini. Na serikali imekaa kama mtazamaji tu.
smile hawana 4G
Hivi ukiwa ripoti, serikali inasemaje?, tusiishie kuongea tu jamani.
mitandao yote inaendeshwa kwa utapeli na hakuna hatua inayochukuliwa watakuwa wamejifunza kwenye mitandao mingine halafu bwana mdogo wizara yake inashindwa kushugurikia ishu ndogo anawaza kuwa rais