manning
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 5,093
- 11,948
Hii mitandao ya simu inayokuja sasa si ya kurukia. SMART siku ya kwanza tu kujiunga kwa sababu hawatumii scrach card ilibidi nimpe alieniunganisha elfu kumi anijazie muda wa maongezi, huyo jamaa akaweka elfu nane na akagoma kabisa kulipa elfu mbili mpaka nikanfikisha kwa bosi wake ndo akatuma hiyo fedha ikifuatiwa na kuondoka gafla sh elfu nane.
Leo nimeweka elfu tano kutaka kununua kifurushi ikashindikana kuwa salio halitoshi. Nilipowapigia wakaahidi kuwa anashughulikia na atanipigia, kumbe ndo nikawa nimentuma aendelee kuzifyeka na amefyeka karibu elfu mbili. Najaribu kuwapigia hawapokei simu.
Hivi huu ni mtandao wa kigogo gani?
Leo nimeweka elfu tano kutaka kununua kifurushi ikashindikana kuwa salio halitoshi. Nilipowapigia wakaahidi kuwa anashughulikia na atanipigia, kumbe ndo nikawa nimentuma aendelee kuzifyeka na amefyeka karibu elfu mbili. Najaribu kuwapigia hawapokei simu.
Hivi huu ni mtandao wa kigogo gani?