Mtandao wa LUKU Una tatizo gani?

Mtandao wa LUKU Una tatizo gani?

Tougher

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2013
Posts
245
Reaction score
65
Jamani naomba kuuliza kuna tatizo gani mbona mtandao wa LUKU haufanyi kazi toka jana hadi leo?
 
Hawa ni wababaishaji sana, imekua kama umeme tunapewa bure? Mm mpaka sasa wamenisababishia hasara kubwa sana kunahaja na wao waanze kuripa fia pale wanaposhidwa kutoa huduma kwa wateja bila taarifa. Huu ni upuuzi umeme wenyewe ni ghaali sana alafu sio wa uhakika hata kuuza wanakua wazembe bila hata taarifa? Muhongo asepe hatuwezi ubabaishaji huu
 
Jamani naomba kuuliza kuna tatizo gani mbona mtandao wa LUKU haufanyi kazi toka jana hadi leo?

Mkuu mara nyingi vitu kama hivyo vinasababishwa na baadhi ya Watumishi wa Tanesco kutowajibika Kikamilifu, na hayo ndo Matokeo ya kuajiri Watumishi kwa Rushwa au Nani anaekufahamu Makao Makuu Makuu.., kama huna Vigezo hivyo sahau kupata kazi Tanesco.., labda watu wao wasifit kwenye Nafasi hizo!
 
Tumezoea kununua umeme kwenye simu safari hii tumekoma. Hadi uende kwenye kituo cha TANESCO. Vituo vipo vichache basi tabu tupu.
 

Attachments

  • 1421059224531.jpg
    1421059224531.jpg
    53.8 KB · Views: 741
  • 1421059260721.jpg
    1421059260721.jpg
    47.8 KB · Views: 691
Vituo gani hivyo ambapo huduma inapatikana kwa sasa maana kazi zimesimama hapa ofisi kisa umeme
 
Mnafikiri kuna hitilafu ......uhuni tu sawa na ule wa benki wa system kutofanya kazi hivyo huwezi kutoa lakini unaweza kuweka tu ............
 
Tumezoea kununua umeme kwenye simu safari hii tumekoma. Hadi uwende kwenye kituo cha TANESCO. Vituo vipo vichache basi tabu tupu

Kupanga ni kuchagua ...umeamua mwenyewe kukaa foleni.
Zifuatazo ni njia mbadala

1. Mpesa
Wewe kama ni Mteja wa mpesa, tigo zantel au airtel unakaa kitandani kwako unaingia kwenye menyu unanunua umeme unapewa TOKEN na kusimama, elekea kwenye mita yako tia umeme.
FOLENI UMEITAKA MKUU

2. CRDB BANK
wewe kama ni Mteja wa benki ya crdb kuna njia kuu2
i. Ingia menyu yao kwa *150*03# ingia kwenye Akaunti yako nunua umeme then unapata token ukiwa apo apo chumbani kwako.

ii. Tafuta wakala yeyote wa crdb mwambie hela hii apa nataka umeme ...ataingia kwenye machine yake na kukupatia risiti yenye token
Wakala wa hii benki nawaona kila mtaa, mtaani kwetu wapo wa3 ....
Office nyingi za posta ni wakala wa crdb.

Mwisho:
Maxmalipo
Ukiona kibao cha maxmalipo ...ingia wape mita namba, watakupa karatasi ya token.

Njia hizi hazina foleni.


Mwenye swali aulize! Ukikaa folen umetaka mwenyewe.
Ndio namaliza kuwapigia promo Hawa watu!! Sitaki malipo ya promo hii
 
Kupanga ni kuchagua ...umeamua mwenyewe kukaa foleni.
Zifuatazo ni njia mbadala

1. Mpesa
Wewe kama ni Mteja wa mpesa, tigo zantel au airtel unakaa kitandani kwako unaingia kwenye menyu unanunua umeme unapewa TOKEN na kusimama, elekea kwenye mita yako tia umeme.
FOLENI UMEITAKA MKUU

2. CRDB BANK
wewe kama ni Mteja wa benki ya crdb kuna njia kuu2
i. Ingia menyu yao kwa *150*03# ingia kwenye Akaunti yako nunua umeme then unapata token ukiwa apo apo chumbani kwako.

ii. Tafuta wakala yeyote wa crdb mwambie hela hii apa nataka umeme ...ataingia kwenye machine yake na kukupatia risiti yenye token
Wakala wa hii benki nawaona kila mtaa, mtaani kwetu wapo wa3 ....
Office nyingi za posta ni wakala wa crdb.

Mwisho:
Maxmalipo
Ukiona kibao cha maxmalipo ...ingia wape mita namba, watakupa karatasi ya token.

Njia hizi hazina foleni.


Mwenye swali aulize! Ukikaa folen umetaka mwenyewe.
Ndio namaliza kuwapigia promo Hawa watu!! Sitaki malipo ya promo hii

Hayo yote tunayajua. Ukiona hadi nmekaa foleni jua kuna tatizo.
 
Mnafikiri kuna hitilafu ......uhuni tu sawa na ule wa benki wa system kutofanya kazi hivyo huwezi kutoa lakini unaweza kuweka tu ............

Mkuu kwenye benki waweza kuweka na KUTOA, kuweka hakuna sharti lolote isipokuwa KUTOA.
Hii ni kwa kuwa kuweka anaweza kuweka mtu yeyote na kutumia simu yoyote ila KUTOA lazima uende benki waisajili iyo laini ya simu. Sasa kama bila kujisajili wakiruhusu uamue mwenyewe sasa na jirani si ataamua mwenyewe ivo akatoa kwako ? Lazima ukajisajili mkuu
 
Kupanga ni kuchagua ...umeamua mwenyewe kukaa foleni.
Zifuatazo ni njia mbadala

1. Mpesa
Wewe kama ni Mteja wa mpesa, tigo zantel au airtel unakaa kitandani kwako unaingia kwenye menyu unanunua umeme unapewa TOKEN na kusimama, elekea kwenye mita yako tia umeme.
FOLENI UMEITAKA MKUU

2. CRDB BANK
wewe kama ni Mteja wa benki ya crdb kuna njia kuu2
i. Ingia menyu yao kwa *150*03# ingia kwenye Akaunti yako nunua umeme then unapata token ukiwa apo apo chumbani kwako.

ii. Tafuta wakala yeyote wa crdb mwambie hela hii apa nataka umeme ...ataingia kwenye machine yake na kukupatia risiti yenye token
Wakala wa hii benki nawaona kila mtaa, mtaani kwetu wapo wa3 ....
Office nyingi za posta ni wakala wa crdb.

Mwisho:
Maxmalipo
Ukiona kibao cha maxmalipo ...ingia wape mita namba, watakupa karatasi ya token.

Njia hizi hazina foleni.


Mwenye swali aulize! Ukikaa folen umetaka mwenyewe.
Ndio namaliza kuwapigia promo Hawa watu!! Sitaki malipo ya promo hii

Nmekupata Ndugu, ila tatizo kubwa ni kua Mtandao unasumbua coz nmejaribu kununua kwa tgopesa, Mpesa na kwenye Vibanda pia imeshndkana hivyo hebu nipe Utatuzi nisije lala Giza na leo!
 
Hayo yote tunayajua. Ukiona hadi nmekaa foleni jua kuna tatizo.

Mkuu njia zoote zina tatizo?....au kuna njia hauna access nazo kama bank account?
Maana hapa baada ya kusikia ivo nimetest kwa umeme WA 1000 wamenipa token ya unit 2 muda huu
 
Kupanga ni kuchagua ...umeamua mwenyewe kukaa foleni.
Zifuatazo ni njia mbadala

1. Mpesa
Wewe kama ni Mteja wa mpesa, tigo zantel au airtel unakaa kitandani kwako unaingia kwenye menyu unanunua umeme unapewa TOKEN na kusimama, elekea kwenye mita yako tia umeme.
FOLENI UMEITAKA MKUU

2. CRDB BANK
wewe kama ni Mteja wa benki ya crdb kuna njia kuu2
i. Ingia menyu yao kwa *150*03# ingia kwenye Akaunti yako nunua umeme then unapata token ukiwa apo apo chumbani kwako.

ii. Tafuta wakala yeyote wa crdb mwambie hela hii apa nataka umeme ...ataingia kwenye machine yake na kukupatia risiti yenye token
Wakala wa hii benki nawaona kila mtaa, mtaani kwetu wapo wa3 ....
Office nyingi za posta ni wakala wa crdb.

Mwisho:
Maxmalipo
Ukiona kibao cha maxmalipo ...ingia wape mita namba, watakupa karatasi ya token.

Njia hizi hazina foleni.


Mwenye swali aulize! Ukikaa folen umetaka mwenyewe.
Ndio namaliza kuwapigia promo Hawa watu!! Sitaki malipo ya promo hii

Nimejaribu kununua LUKU by crdb mobile naambiwa sina sali sijaelewa hapa jamani
 
Nmekupata Ndugu, ila tatizo kubwa ni kua Mtandao unasumbua coz nmejaribu kununua kwa tgopesa, Mpesa na kwenye Vibanda pia imeshndkana hivyo hebu nipe Utatuzi nisije lala Giza na leo!

Kwan mpaka kwny mishumaa na vibatari kuna foleni pia??
 
Nmekupata Ndugu, ila tatizo kubwa ni kua Mtandao unasumbua coz nmejaribu kununua kwa tgopesa, Mpesa na kwenye Vibanda pia imeshndkana hivyo hebu nipe Utatuzi nisije lala Giza na leo!

Mkuu ni Mteja wa crdb?
Labda nkuelekeze nilivonunua?
Inakubali maybe nisijue kama ni network kwenye zone yako
Au tafuta wakala wa crdb
 
Kama ni kweli kuna tatizo la kununua umeme kwa mobile basi nawalaumu tanesco,karne hii ya tehama kweli unategemea source moja tu(Token server)? Kwa nini wasiweke reduntant servers na links? Haiwezekani mitandao yote wawe wana-access source moja na hilo ndio tatizo,server ikipiga chini,mobile users wote wanakuwa affected.
 
Back
Top Bottom