Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,488
- 34,413
Mkuu JokaKuu
Katika aina za ulevi hakuna mbaya kama madaraka. Unajua wamejisahau kabisa kama ni watanzania na wanadamu
Wanafanya kila wanachotaka wakijua Watanzania wawafanya nini!
Hapa ndipo Watanzania wanapaswa kuamka ili siku moja wajutie wanayoyafanya! wanapaswa kujuta siku moja
Katika aina za ulevi hakuna mbaya kama madaraka. Unajua wamejisahau kabisa kama ni watanzania na wanadamu
Wanafanya kila wanachotaka wakijua Watanzania wawafanya nini!
Hapa ndipo Watanzania wanapaswa kuamka ili siku moja wajutie wanayoyafanya! wanapaswa kujuta siku moja