Mtandao wa IKULU waendelea kuitangaza CCM!

Mtandao wa IKULU waendelea kuitangaza CCM!

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
37,649
Reaction score
70,953
..wiki chache zilizopita tulitoa tahadhari kuhusu taarifa za vikao na mikutano ya CCM kuwekwa ktk mtandao wa ikulu. ilikuwa faraja kubwa kuona kwamba wahusika walifanya marekebisho ya haraka kuondoa tatizo hilo.

..lakini kitu cha kushangaza ni kwamba wiki hii tena hali hiyo imejirudia tena. mtandao wa ikulu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Tovuti Rasmi ya Ikulu umeweka picha za vikao vya CCM pamoja na picha za mkutano wa kichama ambao unamhusisha mgombea Uraisi kupitia CCM Dr.Magufuli.

..mimi nadhani hii ni kasoro kwasababu taarifa za shughuli za vyama vya siasa hazipaswi kuwekwa ktk mtandao wa kiserikali ambao ni wetu wa-Tanzania wote.

..nawaomba wana-JF wenzangu ambao mnapenda haki na usawa hapa nchini muwatafute wahusika wa ikulu na tcra ili hali hii ya upendeleo wa waziwazi kwa CCM isitishwe.

..anwani za wahusika zinapatikana ktk mtandao wa ikulu nazo ni hizi hapa:

Ofisi ya Rais Ikulu,1Barabara ya Barack Obama,11400 Dar es salaam

Simu : 0222116898Simu : 0222116900/6

Nukushi: 0222113425/2116910/2117272

Barua pepe : ikulu@ikulu.go.tz

..anwani za ofisi ya katibu kiongozi ambazo ziko kwenye mtandao wa ikulu ni hizi hapa:

Ofisi ya Rais Ikulu,1 Barabara ya Barack Obama,11400 Dar es Salaam.

Simu : 0222116898

Simu : 02222116900/6

Barua pepe : Tovuti : chiefsecretary.go.tz


..anwani za tume ya taifa ya mawasiliano zinazopatikana kwenye mtandao ni hizi hapa:

The Director General

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)
Mawasiliano Towers
20 Sam Nujoma Road
P.O Box 474
14414 Dar Es Salaam
Tel: +255 22 2199760 - 8; +255 22 2412011 - 2
Mob: +255 784558270 - 1
Director General Direct Line +255 22 2199769
Fax: +255 22 2412009 / +255 22 2412010

E-Mail: dg@tcra.go.tz

NB:

..nadhani suala hili linapaswa kupelekwa hata kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi, pamoja na ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.






 
Kwa hii nchi itaendelea kweli kama jambo dogo dogo tu kutofautisha shughuli za chama na za kitaifa. CCM wajue serikali si taifa,hakuna taifa la CCM bali serikali ya CCM ambayo ukomo wake ni oktoba
 
Huko kote uliko tutuma kuwa tukalalamike ni Maccm yamejaa huko. Haki tutaisikia tu, ndo maana wanadiriki kujitapa kuwa ushindi kwa ccm ni lazima.
Mgombea wao hana hata nia aloiweka kwetu, lakini anajigamba kuwa ushindi si kishindo bali wa tsunami. Ni kwa sababu anayajua madudu wanayo fanza huko. Mtatuzingua sana lakini hatuzinguki, kura lazima tutapiga tu
 
CCM wanajaribu kutumia resources zote kuokoa jahazi, wanatumia mpaka zile ambazo ni haramu kujitangaza
 
Kwa hii nchi itaendelea kweli kama jambo dogo dogo tu kutofautisha shughuli za chama na za kitaifa. CCM wajue serikali si taifa,hakuna taifa la CCM bali serikali ya CCM ambayo ukomo wake ni oktoba

hakuna serikali ya ccm bali serikali ya JMT
 
haya ndo mapungufu ya katiba ye2 ya kumpa rais mamlaka ya kuteua asilimia 98 ya watumishi viongozi wa serikali chance hii imemfanya kuteua ndugu zake ,marafiki ,makada wenzie sasa hawa wateuzi wake wamejikuta kama vle wapo nyumbani kwa ndugu au rafiki yao au makanda wamejiona wapo office za mtaa wa lumumba kumbe wapo kwenye office za umma kupitia mapungufu haya imekuwa ngumu kutofautisha kipi cha chama au cha serikali kwani kama vazi la kijani wanavaa wote na wenyekiti wao wa chama ndo huyo huyo rais wote kwenye vkao na makongamano ya chama wapo pamoja tena wakitumia facility zile zile kama magari walinzi ndege na vngne vng kwa suguli za chama na serikali
 
CCM wakisema USHINDI ni lazma hamuamn ila Lowasa akisema haujui msamiati wa kushindwa mnaelewa kweli m'eamua kufata mkumbo basi watu wazima m'ekuwa kama mizigo cpat picha wakati Dr Magufuli akiapshwa sijui Lowasa atakuwa kwa Tb Joshua au kwa Gwajima
 
ila wadau mimi napingana kabisa na hili la barabara ya ikulu kupewa jina la Obama. nadhani angepewa hata barabara ya huko mburahati. nadhani barabara ya ikulu ingemfaa sana nyerere kama muasisi wa taifa hili au hata akina chief mkwawa, hasan makunganya, isike na wazalendo wengine walioliifia taifa hili. hivi hakuna uwezekano rais ajaye akabadilisha hilo jina? nauliza.
 
hao wamelewa madaraka. wanashindwa hata kutofautisha serikali na chama chao.
kwanza unaangalia huko kutafuta nini? mimi sikumbuki mara ya mwisho niliingia huko lini.
ni asilimia ndogo sana ya watz wanaoingia huko.

..wiki chache zilizopita tulitoa tahadhari kuhusu taarifa za vikao na mikutano ya CCM kuwekwa ktk mtandao wa ikulu. ilikuwa faraja kubwa kuona kwamba wahusika walifanya marekebisho ya haraka kuondoa tatizo hilo.

..lakini kitu cha kushangaza ni kwamba wiki hii tena hali hiyo imejirudia tena. mtandao wa ikulu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Tovuti Rasmi ya Ikulu umeweka picha za vikao vya CCM pamoja na picha za mkutano wa kichama ambao unamhusisha mgombea Uraisi kupitia CCM Dr.Magufuli.

..mimi nadhani hii ni kasoro kwasababu taarifa za shughuli za vyama vya siasa hazipaswi kuwekwa ktk mtandao wa kiserikali ambao ni wetu wa-Tanzania wote.

..nawaomba wana-JF wenzangu ambao mnapenda haki na usawa hapa nchini muwatafute wahusika wa ikulu na tcra ili hali hii ya upendeleo wa waziwazi kwa CCM isitishwe.

..anwani za wahusika zinapatikana ktk mtandao wa ikulu nazo ni hizi hapa:

Ofisi ya Rais Ikulu,1Barabara ya Barack Obama,11400 Dar es salaam

Simu : 0222116898Simu : 0222116900/6

Nukushi: 0222113425/2116910/2117272

Barua pepe : ikulu@ikulu.go.tz

..anwani za ofisi ya katibu kiongozi ambazo ziko kwenye mtandao wa ikulu ni hizi hapa:

Ofisi ya Rais Ikulu,1 Barabara ya Barack Obama,11400 Dar es Salaam.

Simu : 0222116898

Simu : 02222116900/6

Barua pepe : Tovuti : chiefsecretary.go.tz


..anwani za tume ya taifa ya mawasiliano zinazopatikana kwenye mtandao ni hizi hapa:

The Director General

Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)
Mawasiliano Towers
20 Sam Nujoma Road
P.O Box 474
14414 Dar Es Salaam
Tel: +255 22 2199760 - 8; +255 22 2412011 - 2
Mob: +255 784558270 - 1
Director General Direct Line +255 22 2199769
Fax: +255 22 2412009 / +255 22 2412010

E-Mail: dg@tcra.go.tz

NB:

..nadhani suala hili linapaswa kupelekwa hata kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi, pamoja na ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa.






 
Tunashukuru sana kwa wadau hasa mleta uzi huu kwa kuwafahamisha watanzania hila na maovu ya makusudi ya ccm kuendelea kuitumia ikulu kama ofisi ya chama cha siasa,

Cc:Tume ya taifa ya uchaguzi
 
ila wadau mimi napingana kabisa na hili la barabara ya ikulu kupewa jina la Obama. nadhani angepewa hata barabara ya huko mburahati. nadhani barabara ya ikulu ingemfaa sana nyerere kama muasisi wa taifa hili au hata akina chief mkwawa, hasan makunganya, isike na wazalendo wengine walioliifia taifa hili. hivi hakuna uwezekano rais ajaye akabadilisha hilo jina? nauliza.

Tutamuomba mheshimiwa lowasa akifikirie hili
 
CCM wakisema USHINDI ni lazma hamuamn ila Lowasa akisema haujui msamiati wa kushindwa mnaelewa kweli m'eamua kufata mkumbo basi watu wazima m'ekuwa kama mizigo cpat picha wakati Dr Magufuli akiapshwa sijui Lowasa atakuwa kwa Tb Joshua au kwa Gwajima

Makofuri keshashindwa hata kabla ya kampeini jaijaanza
 

Attachments

  • 1439398507703.jpg
    1439398507703.jpg
    23 KB · Views: 260
Back
Top Bottom