JacksonMichael
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 339
- 61
Ngugu wanaJF,
Mtandao wa gazeti tajwa hapo juu limezuia habari zake zikikopiwe, hii imekaaje? mbona mitandano ya magazeti yote hapa nchini na sememu nyingi katika dunia hii hawana sheria za ajabu kama hizi? hali kama hii nimeiona katika mitandao inayouza vitabu na majarida ambayo kwa kuwa lengo lao ni uuzaji ni fine lakini kwa gazeti letu la kiserikali naona haijatulia.
Nafikili bado wananchi wanahaki ya kutumia taarifa zile cha msingi waacknowledge source ya habari na wasibadili contents husika. Wadau tujadili hili gazeti la ccm naona linatupeleka pasipo kwa ubinafsi huu.
Mtandao wa gazeti tajwa hapo juu limezuia habari zake zikikopiwe, hii imekaaje? mbona mitandano ya magazeti yote hapa nchini na sememu nyingi katika dunia hii hawana sheria za ajabu kama hizi? hali kama hii nimeiona katika mitandao inayouza vitabu na majarida ambayo kwa kuwa lengo lao ni uuzaji ni fine lakini kwa gazeti letu la kiserikali naona haijatulia.
Nafikili bado wananchi wanahaki ya kutumia taarifa zile cha msingi waacknowledge source ya habari na wasibadili contents husika. Wadau tujadili hili gazeti la ccm naona linatupeleka pasipo kwa ubinafsi huu.