Mtandao upi napata Unlimited Data kwa malipo ya mwezi

Mtandao upi napata Unlimited Data kwa malipo ya mwezi

Fuatilia ziku fibre, wanatoa 5G network kwa kutumia fibre. sasa hapa itategemea upo hehem gani, so far wapo reliable , mzigo upo fasta , bei yan kawaida.
 
Fuatilia ziku fibre, wanatoa 5G network kwa kutumia fibre. sasa hapa itategemea upo hehem gani, so far wapo reliable , mzigo upo fasta , bei yan kawaida.
Dodoma wapo kweli
 
Nipo dodoma
Kwa dodoma gharama ya installation na vifaa vyote ni tsh 965000/ apo sasa unaanza kununua vifurush kuna kifurush cha mwaka mzima tsh200000/= cha konnect package 20 ambacho starting speed n mbps 20 au wacheki kwa hizo namba zao watakupa maelezo zaid kadri uulizavyo
 
Kwa dodoma gharama ya installation na vifaa vyote ni tsh 965000/ apo sasa unaanza kununua vifurush kuna kifurush cha mwaka mzima tsh200000/= cha konnect package 20 ambacho starting speed n mbps 20 au wacheki kwa hizo namba zao watakupa maelezo zaid kadri uulizavyo
Na raha yao ata kama upo maeneo ambayo amna mtandao kabsa wao internet yao inafanya kaz vzur kabsa
 
Nimewacheki leo ila wamenitajia gharama za vifaa ambazo ni 1.5M

Halafu package ya 60K kumbe unapewa kiasi fulani cha GB ambacho kina speed kubwa then ukikimaliza utaweza kutumia unlimited ila katika low speed
Wana gharama kuliko Starlink
 
Wana gharama kuliko Starlink
Hawako serious

Mi nilitaka nishangae yani kwa gharama hizi za bundle tunazouziwa na makampuni ya simu halafu Konnect wawe wanatoa gharama ya kifurushi cha 60K kwa mwezi unlimited, bila limitation ya baadhi ya maeneo na gharama za installation ziwe nafuu halafu wasiwe popular, mbona hilo swala halipo
 
Ahaa tatizo gharama kubwa million
Ni keeli gharama ni kubea lakin mkoa wenye gharama kubwa ni dar pekee kwamaana uko beam ya frequens imejaa ko badala yakutumia dish ya cm74 wanatumia cm 120 ilikuweza kupata fq vzur na hilo dish gharama yake ndo kubwa inasimamia 1.5mil. lakin mioa mingine iliy bakia gharama n laki 9 na point pia kama mteja anaitaji huduma anaweza ata kulipa kwa hawamu siyo lazima yote,, na pia kwa wale wateja wanao hitaji vfurush vyao visi reduse speed bado unaweza toa taatfa tukakuweka kama myeja mwenye priority ambapo ww utatembea na speed ileile ata kama ungetumia gb 1000 kwa siku
 
Back
Top Bottom