Kuna network mpya ya simu inasomeka pale unaposearch available networks kwani simu inaitwa Hits tena ina 3G internet. Hii nimeiona Moshi, Tanga, Pwani, Morogoro na Dodoma (haya ni maeneo niliyopita). Je, ni vietel wameanza kwa staili hyo au? Anayejua atujuze.