Umemhisi kwaajili ya hilo tumbo nini?...huenda ikawa aisee!..Kwa tumbo hilo alikuwa na haki ya kutukwepa alipokuja kwa Moromboo kula nyama za Mbuzi!Mtambuzi lazima wewe ni huyo hapo mwenye trakisuti ya bluu.....wa pili kutoka kulia....
btw....naomba nikutume kwa Shemahonge....kuna mafenesi yangu amevuna kakosa jinsi ya kunitumia......
Umemhisi kwaajili ya hilo tumbo nini?...huenda ikawa aisee!..Kwa tumbo hilo alikuwa na haki ya kutukwepa alipokuja kwa Moromboo kula nyama za Mbuzi!
Ushemegi umekufa!halafu wewe shemeji bana....hooi kabisa.....
Mtambuzi lazima wewe ni huyo hapo mwenye trakisuti ya bluu.....wa pili kutoka kulia....
btw....naomba nikutume kwa Shemahonge....kuna mafenesi yangu amevuna kakosa jinsi ya kunitumia......
Ushemegi umekufa!
wenyewe wanasema, Mishi ya nema iza shia.............! hakuna mafenesi banaShemahonge wa pale kwenye kona, namjua sana yule mzee hata watoto wake Shengwatu ni famili wenye upendo. Likifika hilo fenesi nipatie kidogo nami nijikumbushe.
Kusema ukweli Lushoto iko poa mazingira yake yanatoa hamasa ya kuishi kama mamtoni vile.Nilipata kasafari kamoja ka kikazi nikafikia pale LUSHOTO executive pale mjini pembeni ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya nili-enjoy sana. Evening walk na Jogging vinafaa sana maeneo yale mpaka nikapenda mazoezi.
Bila shaka uli-enjoy mkuu Mtambuzi na kama ulifika kule milimani(naona kuna picha ina kaukungu hapo) basi burudani kabisa.