Utaumiza kichwa sana, huo mfumo wa kutrack mtu kwa njia ya namba haupo wazi kwa wananchi bali serikali imeuweka kama special security yao pale wanapokutaka wewe na siyo wewe kumtaka mwenzako.
Njia rahisi ni hiyo aliyokupa mdau kwa kutumia email, hiyo njia haidanganyi coz all data za kila siku zipo hao na inakuelekeza hata anapolala huyo mtu wako.
Vinginevyo nakuomba kama unataka kumshika mtu ugoni achana na hizo mambo, maana ni nusu kifo.