Kwenye kukutana baina ya wapenzi najua wanawake wanakutana na changamoto muktadha cku wanapokutana kwenye mechi kwa Mara ya kwanza. Naomba ushuhuda kidogo kuhusu hawa warembo wetu jinsi walivyokutana na jacuzi. Either kibamia au dudu kubwa oversize uli react vipi. Au ulifanya nini kuhimili?
Hahahahahaha mleta mada majibu yanasomeka au tuwaambie wachangiaji wabold maandishi???
Corona sio mtu mzuri yaani kawa km mbio za Riadha.China aliongoza race km 5 mfululizo mara Iran huyu hapa akaovertake,naye hajakaa sawa Italy kampita kama Kishada fyaaaaaaaaa ss bhana USA kaona huu ujinga katoka mkiani huko kapita wote now anaongoza race huku akiwaacha mbali sana wapinzani wake.Tusubiri atakayempita USA nahisi ndo atakuwa bingwa.