MPHINGU
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 518
- 613
Wakuu nimewaletea uzi huu baada ya kubaini kuna UTATA wa maana ya neno MTAKATIFU na ni yupi anaye stahili kuitwa na kinyume chake ni nin.
Kwanza MTAKATIFU ni neno la kiswahili linalotokana na neno TAKATA( safi,isiochafuka, nadhifu,bila dhambi,bila uwonevu, bila dhulma, bila nijasi)basi kwa sehemu kama hiyo inaitwa "PATAKATIFU.
NA kama ni mtu anaitwa MTAKATIFU.
na mtu yoyote yule anaye anyemwona mweziwe ametakata, msafi na hana dhambi, anaweza akamwita MTAKATIFU, na kinyume cha MTAKATIFU na kwa vile utakatifu unatokana na KUTAKATA (usafi) ni MCHAFU au"MCHAFUKOGE
Kwanza MTAKATIFU ni neno la kiswahili linalotokana na neno TAKATA( safi,isiochafuka, nadhifu,bila dhambi,bila uwonevu, bila dhulma, bila nijasi)basi kwa sehemu kama hiyo inaitwa "PATAKATIFU.
NA kama ni mtu anaitwa MTAKATIFU.
na mtu yoyote yule anaye anyemwona mweziwe ametakata, msafi na hana dhambi, anaweza akamwita MTAKATIFU, na kinyume cha MTAKATIFU na kwa vile utakatifu unatokana na KUTAKATA (usafi) ni MCHAFU au"MCHAFUKOGE