Mtakaoomba second round TCU muwe makini sana

shizo mkax

Senior Member
Feb 5, 2015
190
39
  • Nianze kwa kuwapongeza kwa kufaulu vizuri, HONGERENI.
  • Napenda niwape angalizo ndugu zangu, ikitokea umekosa selection for the first round tafadhali usikurupuke kujaza ilimradi chuo chochote.. UTAJUTA.
  • Ni bahati sana kwenu vyuo vingi vya ovyo vimefungiwa na serikali mfano St Joseph university, hili ndo lilikuwa chaka la wale wote wa second na third round.
  • MSIPANIC tulieni mjaze upya kwa kozi na vyuo vizuri
 
  • Nianze kwa kuwapongeza kwa kufaulu vizuri, HONGERENI.
  • Napenda niwape angalizo ndugu zangu, ikitokea umekosa selection for the first round tafadhali usikurupuke kujaza ilimradi chuo chochote.. UTAJUTA.
  • Ni bahati sana kwenu vyuo vingi vya ovyo vimefungiwa na serikali mfano St Joseph university, hili ndo lilikuwa chaka la wale wote wa second na third round.
  • MSIPANIC tulieni mjaze upya kwa kozi na vyuo vizuri
Poa shizo mkax ,chuo kizuri cha mifugo ni kipi
 
  • Nianze kwa kuwapongeza kwa kufaulu vizuri, HONGERENI.
  • Napenda niwape angalizo ndugu zangu, ikitokea umekosa selection for the first round tafadhali usikurupuke kujaza ilimradi chuo chochote.. UTAJUTA.
  • Ni bahati sana kwenu vyuo vingi vya ovyo vimefungiwa na serikali mfano St Joseph university, hili ndo lilikuwa chaka la wale wote wa second na third round.
  • MSIPANIC tulieni mjaze upya kwa kozi na vyuo vizuri
Daa mkuu mbona unachafua vyuo vya watu kwamba st Joseph ni chuo cha hovyo?.

Mbona MD udom imezuiliwa lakini MD St Joseph haijazuiliwa?.

Kwa maana hiyo unataka kusema MD ya udom ilikuwa ya hovyo?.Tatizo nikuwa st Joseph ina majengo machache na idadi ya wanafunzi niwengi.

Kitu kingine nikuwa St Joseph hata iyo MD ambayo inachukua MD niwachache watakao weza kusoma kwa sababu ada ni Million tano na laki tisa ukijumlisha na michango inafika million sita na laki kadhaa.

Sasa sisi watoto wa makapuku hatuwezi soma chuo kama st joseh kwa sababu hatuna pesa.
 
  • Nianze kwa kuwapongeza kwa kufaulu vizuri, HONGERENI.
  • Napenda niwape angalizo ndugu zangu, ikitokea umekosa selection for the first round tafadhali usikurupuke kujaza ilimradi chuo chochote.. UTAJUTA.
  • Ni bahati sana kwenu vyuo vingi vya ovyo vimefungiwa na serikali mfano St Joseph university, hili ndo lilikuwa chaka la wale wote wa second na third round.
  • MSIPANIC tulieni mjaze upya kwa kozi na vyuo vizuri
Cha msingi ni kutulia na kufanya maamuzi sahihi... Swala la chuo kuwa kibovu hata ivyo vizur vyaweza baadae kutambulika kuwa na baadhi ya VITIVO vinavyotoa Course zisizo na sifa. Na sku izi ajira hazizingatii umesoma wapi.. Bali unajua nini... Fanyeni maamuzi madogo msijali. Allah awatangulie.
 
Daa mkuu mbona unachafua vyuo vya watu kwamba st Joseph ni chuo cha hovyo?.

Mbona MD udom imezuiliwa lakini MD St Joseph haijazuiliwa?.

Kwa maana hiyo unataka kusema MD ya udom ilikuwa ya hovyo?.Tatizo nikuwa st Joseph ina majengo machache na idadi ya wanafunzi niwengi.

Kitu kingine nikuwa St Joseph hata iyo MD ambayo inachukua MD niwachache watakao weza kusoma kwa sababu ada ni Million tano na laki tisa ukijumlisha na michango inafika million sita na laki kadhaa.

Sasa sisi watoto wa makapuku hatuwezi soma chuo kama st joseh kwa sababu hatuna pesa.
Sio majengo machache mkuu hata elimu yao ilikuwa haipo vzur thats why wanafunzi waliopelekwa udom kutoka st joseph walikutana na balaa la kurudishwa nyuma mwaka mzima wa masomo
 
Ushauri. Zingatieni kupima suti kwa mujibu wa urefu wenu!
Kuna wanafunzi wana ufaulu mzuri tu kama division 1 ya point 9 au division 2 ya point nzuri tu lakini wametemwa first round kwa sababu tu walipima suti ndefu kuliko urefu wao. Ukipima suti inayolingana na urefu wako bado itabaki kuwa suti!
Unakuta mtu na vi C viwili anabanana na watu mara nne ya capacity Muhas au UDSM sasa hapo unategemea nini? Angeweza kuchagua kozi hiyo hiyo kwenye chuo kama AJUCO au St John's na kuchaguliwa bila tatizo!
 
Duuuh kwel hii elim ya tz haina adabu yan kamar vile .
Nmeshindwa ata lakufanya na ningekua dar ningewafata ofisin kwao.
Kwa ufaulu huu pia nimetemwa bora nianze tu kaz ya kusajil lain.
Chuo chenyew nmetemwa ata nikiapply awam ya pil , mkopo nao utakua majanga vile vile
 
Duuuh kwel hii elim ya tz haina adabu yan kamar vile .
Nmeshindwa ata lakufanya na ningekua dar ningewafata ofisin kwao.
Kwa ufaulu huu pia nimetemwa bora nianze tu kaz ya kusajil lain.
Chuo chenyew nmetemwa ata nikiapply awam ya pil , mkopo nao utakua majanga vile vile
Una points ngap mkuu
 
Ushauri. Zingatieni kupima suti kwa mujibu wa urefu wenu!
Kuna wanafunzi wana ufaulu mzuri tu kama division 1 ya point 9 au division 2 ya point nzuri tu lakini wametemwa first round kwa sababu tu walipima suti ndefu kuliko urefu wao. Ukipima suti inayolingana na urefu wako bado itabaki kuwa suti!
Unakuta mtu na vi C viwili anabanana na watu mara nne ya capacity Muhas au UDSM sasa hapo unategemea nini? Angeweza kuchagua kozi hiyo hiyo kwenye chuo kama AJUCO au St John's na kuchaguliwa bila tatizo!
Mkuu huko kina itaji ela ya kutosha, ukizingatia ss wenyew n watoto wa poor peasant ndio maana tunakimbilia vyuo vya public
 
Back
Top Bottom