DUU POLE SANATwo ya point kum mkuu alaf niliomba ualim yan pia wamenitema
ART AU SIENCE?
mimi pia nina two lakini nmechaguliwa
but FORM FOUR ULIPIGA NGAPI
DUU POLE SANATwo ya point kum mkuu alaf niliomba ualim yan pia wamenitema
Kama ungefuatilia idadi ya applicants UDOM waliochagua kozi hiyo kama chaguo la kwanza nina hakika ungebadilisha! Ni wengi sana walichagua UDOM kwa kuwa mazingira ya accommodation ni mazuri sana!Mkuu nilkiweka udom cha kwanza alaf nmekosa pia.
Hawa jamaa ata siwaelew
Ada ya vyuo vingi vya diploma kwa public college ni 1.2 mil kwenda mbele vingi ndo ada zao na hapo ni kando na malazi hapo utajijua mwenyewe sasa private ndo balaaa sema kitu kizuri unalipa kwa installment ila unapo anza zaidi ya millioni unaweza kutoa kwa mara moja.Ni ushauri mzuri lakini huko kwenye Diploma hakuna boom na ada yake ni ndefu mbali na malazi na chakula. Hivyo shirikisheni wazazi kwanza kabla ya kuamua kuapply DIPLOMA. Diploma ya vyuo binafsi ada yake inaweza kuzidi hats ada ya chuo kikuu!!!!
Form four nina three mkuu au ndio sabab pia iyoDUU POLE SANA
ART AU SIENCE?
mimi pia nina two lakini nmechaguliwa
but FORM FOUR ULIPIGA NGAPI
Mwecau ndio wap mkuuKama ungefuatilia idadi ya applicants UDOM waliochagua kozi hiyo kama chaguo la kwanza nina hakika ungebadilisha! Ni wengi sana walichagua UDOM kwa kuwa mazingira ya accommodation ni mazuri sana!
Tatizo MTU akishachagua hafuatilii tena competitors ni wengi kiasi gani ukilinganisha na capacity, hasa wakati dirisha la application linapokaribia kufungwa!
Mbaya zaidi mwingine anafanyiwa apication na wenzake kulingana na utashi wake bila kujua hali halisi kwenye uwanja wa mashindano, halafu anakaa kusubiria selection. Usikate tamaa, nakushauri second round chagua mwecau!
DAH NDUGU USIKATE TAMAA,HAIWEZI IKAWA NI PROBLEM KWANI KINACHOMATA NI ADVANCE HASA EDUCATIONForm four nina three mkuu au ndio sabab pia iyo
Aisee yanayonikuta mimi ni siri yangu, nina point ,9 kwenye masomo 3 nimetemwa aiseee na CBG yangu. Duuuh kumbe hata tembo anaweza kuwa kama sisimizi!!!
Nashkur mkuu ila hii ni elim ya ubaguzDAH NDUGU USIKATE TAMAA,HAIWEZI IKAWA NI PROBLEM KWANI KINACHOMATA NI ADVANCE HASA EDUCATION
Form four nina three mkuu au ndio sabab pia iyo
sana tuNashkur mkuu ila hii ni elim ya ubaguz
zipo kwa kairuki st.joseph kampala na st.johnsTatizo uliieka mbali ndo maana.!!!
Vp second round koz za afya zpo au hamna kabisaa.?
omba tena hujachaguiwaJamni nisaidieni ukiandikiwa hv ndo unatakiwa urudie
NDIO MAANA YAKE KAKA DATS Y MM NLIPOKUWA NA OMBA SELECTION NKIKUTANA NA UD CJUI DUCE CJTI NN NAFUMBA MACHO NA SCROL DOWN [emoji23] [emoji23] [emoji23] NACHAPA LAPA MBELE STAK KUSHNDANA MM CNA NGUV CHAKUGOMBANIA NN AKAR KUNA VYUO KA IFM VIPO MAKIN NA HAVINA COMPETITIONInategemea uliomba chuo gani! Tatizo watoto wanabanana UDSM, DUCE, MUCE wakati kuna vyuo vingi tu vizuri vyenye capacity kubwa vimebaki bila kujaa! Acheni kukariri, suti ni suti tu hata kama umeinunulia kariakoo siyo lazima ununulie mlimani city!
Sasa kwenye second round kuna ushindani mkubwa sana hasa kwenye education science. Waliotemwa MD, Pharmacy, Laboratory, Nursing nk wengi hawatakuwa na kiburi cha kunyanyapaa ualimu, hivyo watabanana tena! Matokeo yake kuna watakaoachwa tena second round halafu waanze kushangaa kuwa wametemwa kwenye ualimu sayansi na division 2 zao wakati kuna watu walipata kozi hiyo kwa div 3 first round maana walijua kupima suti kulingana na urefu wao!
Pole kaka...Two ya point kum mkuu alaf niliomba ualim yan pia wamenitema
two ya point kumi una kosa ualimu wakati ualimu angalia vyuo kama st johnTwo ya point kum mkuu alaf niliomba ualim yan pia wamenitema
Ohovyo wake ni nini mkuu ili niamini maneno yako?.st.Joseph ni chuo cha hovyo kuliko unavyoweza kudhani, kwa tuliopitia pale tunajua hilo