Neema Massawe
Member
- Aug 13, 2014
- 44
- 9
- Thread starter
- #21
This's another form of network marketing alias Ponzi Scheme!
Kwenye Ponzi Schemes hela zilizotolewa na watu wa mwisho zinatumika kulipia watu wa mwanzo. Hapa Zantel badala ya kulipia matangazo kama yanavyofanya makampuni mengine ya simu ili yaweze kuuza bidhaa zao wao wanatoa bajeti hiyo kulipa wana mtandao wanaofanya kazi ya kuisambaza biashara yao hivyo hii sio Ponzi Scheme.