Haya maelezo kuhusu hii fursa haya hapa:
Ni kwamba Zantel wameipatia tenda kampuni ya Kitanzania kuuza airtime zake kwa njia ya mtandao. Kujiunga unalipia TZS 76,500 ambapo unapata kifurushi chenye vocha ya TZS 10,000, laini ya Zantel, kitabu cha maelezo ya biashara na kadi ya kujiunga.
Ukishajiunga unapata reference number yako ya kuunganisha watu wengine. Malipo yanafanyika kwenye kampuni na kujiunga unajiunga kwenye simu yako.
Baada ya kujiunga, kila mtu utakayemualika utapata TZS 10,000 atakapojiunga na mtandao huu. Mtu aliyemuingiza akiingiza mtu mwingine utapata TZS 4,000. Huyu wa kizazi cha pili akiingiza mtu wa kizazi cha tatu utapata TZS 2,000. Unapata TZS 2,000 kwa watu wanaojiunga kuanzia kizazi cha tatu mpaka cha tisa. Kizazi cha kumi unapata TZS 4,000.
Ukiacha haya malipo ya kujiunga, kuna malipo ya mwezi. Unatakiwa ununue mda usiopungua TZS 10,000 kwa mwezi ili upate malipo ya mtandao kwa mwezi husika kwenye mtandao wako kwa vizazi 10 kwenda chini. Unapata 1% ya malipo ya manunuzi ya airtime ya watu wa kizazi cha kwanza na cha 10. Vizazi vilivyobaki unapata 0.5%.
Ukishaingiza watu 5 basi unapata fursa ya kuwa Dealer wa Zantel kwa kugawa lines za Zantel bure kwa kuwasajili watu na utalipwa 20% ya hela watakazonunua airtime kwa mara ya kwanza mara baada ya kujisajili. Malipo haya ya 20% utayapata kwa kipindi cha miezi mitatu. Baada ya hapo utakuwa unalipwa 10%.
Vilevile kuna malipo mengine kama ya Kiwanja, Gari la Kifahari, Nyumba ya Kifahari na mda si mrefu itaongezwa na bima ya afya pia. Malipo haya yatategemea na idadi ya watu waliopo kwenye mtandao wako.
Vilevile kuna huduma ambapo unalipia TZS 1,500 na kupata fursa ya kupiga Zantel kwenda Zantel bure pamoja na kupewa mda wa bure kwa simu nyingine pia.
Huu mtandao bado mpya hivyo kuna fursa nyingi sasa hivi kwa watakaowahi kuuchangamkia na kujenga mtandao wao. Hii kitu watu wanaichangamkia sana. Watakaokuja baadaye watapata shida ya kutafuta watu kwani wengi watakuwa wameshajiunga tayari.
Kwa wale watakaotaka kuunganishwa na fursa hii basi karibuni ofisini kwetu kama nilivyoelezea kwenye post ya kwanza hapo juu kama mko Dar. Mlioko nje ya Dar tuwasiliane kwa namba hii 0658977330 ili tupange mikakati ya kukuwezesha kujiunga huko huko uliko.