Kwani wewe ulikua na plani gani au biashara gani mwanzo kabisa kabla hujaanza kubeti maana najua kuna kitu ulikuanacho kichwani cha kwamba nikipata hela fulani nitafanya kitu fulani.Kwa mala ya kwanza siku ya jana nimefanikiwa kumpiga mhindi pesa mill 2 nilikuwa nahitaji kuifanya Biashara hii pesa niliyoipata, lkn changamoto imekuwa Aina ya Biashara ya kuifanya, msaada wa kunipa wazo zuri la Biashara nipo Songea mjin
Basi mfanyie biashara huyo huyo mhindi, uwe supplier wa bidhaa zake kimya kimya.Ndio maana nataka niifanyie kitu Cha maana
dah nimecheka tu kwakweli.Hyo pesa itarud Kwa mhindi chap.
Dah hahahUpo songea seem gani uje tukutane lachazi bar tupange mipango
Rafiki yangu kwasasa naona kabisa hukuwa na plan ya biashara yoyote.Kwa mala ya kwanza siku ya jana nimefanikiwa kumpiga mhindi pesa mill 2 nilikuwa nahitaji kuifanya Biashara hii pesa niliyoipata, lkn changamoto imekuwa Aina ya Biashara ya kuifanya, msaada wa kunipa wazo zuri la Biashara nipo Songea mjin
Ndio wai sasa maana mambo ya pesa ayataki kuchelewa chelewa usije ukaitumia vibaya.Hahaha! Ruhuwiko nipo
Sure, huenda umeandika kimasihara ila ndo.itakavyokuwaHyo pesa itarud Kwa mhindi chap
Tafadhali usifanye hv, utaliaTafuta timu yenye odds 1.30 weka hiyo Mill 2 utakuja kunishukuru badae
Ongeza laki 4 uchukue houjue