Yana Mwisho haya FUSO.
Wanawake ni Mama Zetu, Dada zetu, Mabinti zetu, ni wake zetu ni ndugu, jamaa na rafiki zetu.
Hapa tulipokwama tuko nao pamoja, mfumo mbovu wa elimu, rushwa, uzembe, ukosefu wa
usimamizi wa sheria, mfumo mbovu wa usimamizi wa afya, food insecurity, infllation, ukosefu wa ajira,
mfumo mbovu wa uchaguzi, yote haya wanayaona.
Vijana waigunga sasa wamebaki wanalia, Machozi yao hayawezi kutoka bure, yatatiririka na kufika
kwenye matiti ya wamama wao, hapo ndio watakaposhtuka. sijui CCM watawaambia nini?