Vioo vya smartphone za hali ya mtu namaanisha infinix,tecno, Samsung za kawaida,oppo,vivo bei ya jumla ni kuanzia elfu13 mpaka elfu18, kwaiyo ukiwa hata na million1 ya vioo tu itakusaidia sana,kazi nyingi utakuwa na vioo,charge port au system charge bei ya jumla ni sh75 rejereja shilling 100,maiki jumla85 rejereja sh100