King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 319
- 474
Maisha edemanogu chene bhageshii...Hiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
Maisha edemanogu chene bhageshii...Hiyo sio biashara mkuu!! Yaani 45m upate faida hiyo?!! Wakati kuna sehemu unaifanyia biashara, hiyo pesa kwa mwezi unapata si chini ya milioni 15?!!
Ndugu biashara ni somo ambalo watanzania wengi hawakufaulu Kuna nyuzi nyingi sana za kuomba mawazo ya biashara gani mtu afanye na anaeomba ana mtaji mkubwa tuu lakini ushauri uliomo inabidi tufikirie kuoa mchaga tuu huenda ukapata wazo zuri la biashara.Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni zakuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukar unaiuza kwa miezi2 nafaida yake ni 540000 wakati huo gharama zamanunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton32 sawa namifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidgo tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji
We jamaa bwana. Yani unakimbia Kkoo unaenda Tandika?Ni biashara ya nafaka mkuu.....au nihame chimbo nirudi kkoo???
Tafuta biashara nyingine hiyo ni risk kubwa sana yaani faida ni asilimia 1.3 ya mtaji then unaipata ndani ya miezi miwili are you serious?Habari wakuu mnaionaje hizi baishara ni zakuendelea kufanya kweli tandam ya gari ya sukari inabeba mifuko 600 ya sukar unaiuza kwa miezi2 nafaida yake ni 540000 wakati huo gharama zamanunuzi 46m faida kwa Kila mfuko jumla jumla ni tsh 900.
Wakati huo huo mtaji wa gari ya ngano 45m hapo gari ya ton32 sawa namifuko 1280 kwa Kila mfuko ukiuza jumla faida ni tsh 450 sawa jumla ya 576000 kwa mifuko yote ambayo unaiuza kwa miezi 2.
Je, wakuu hii biashara inanichanganya sana mtaji mkuwa faida kidgo tupeane fursa za hela ili tubadilishe biashara tupate faida anagalau inayoendana na mtaji
Ni mpaka wa kuongeza.....maeneo.....na tandika nataka kuweka chochote kinipe ugali wa wananguWe jamaa bwana. Yani unakimbia Kkoo unaenda Tandika?
Utatandikwa kweli😂
Sasa mkuu utt kwa mwaka unapewa 11% Sasa kwa m100 nisawa na 11m unapewa Sasa mkuu hakuna biashara yakuzunguusha hiyo m100 ikazaa zaid ya 11m nnayopewa na utt
Ushauri wako ni upi niingie ktk biashara zipiHuwa mnalalamika situation ya biashara na hamtoi details hasa juu ya location. Unakuta mtu analalamika kitimoto hailipi unajikunja kumuelekeza kumbe jamaa yupo Unguja.
Nina kifremu naambiwa jirani kwenye godown hapa kabla sijapanga aliuza unga wa jumla alikuwa anauza sana watu wanapishana semi zinatoka Iringa uko zinajaza. Jamaa akafirisika eti watu wanajiuliza ilikuwaje, simply ni kwamba alikuwa anafanya biashara ya sifa kama wewe. Siku ukiagiza canter mvua imenyesha, likatumbukia mtoni likamwaga unga lazima uchanganyikiwe. Hasara moja inakula faida ya siku nyingi sana.
Yani kwenye inventory ya milioni 40 unapata laki tano??? Biashara yangu ndogo sana ila nikitumia 5M huwa napata laki tano, yani unafanya 10 times ya hela yangu na unateseka zaidi yangu ila faida tunalingana.
Nishawahi fanya research ya vyakula vya jumla kama mchele na unga, au mahindi. Kitu kikubwa kule ni uchawi, ila sio faida. Nimekaa sana Tandika nasoma wafanyabiashara na madalali nikajihakikishia ni biashara kichaa. Eti mtu ulete tani 20 za mchele upate faida milioni moja, si wehu huo. Alafu hasara ikija sasa, milioni tatu nne kawaida.
Unakuwa mfanyabiashara unaishi kwa hasira mtu akikukanyaga unampiga. Sura imekakamaa hela unazo ila hupendezi mawazo tu.
Anaeuza reja reja hupata 5000Yn mfuko wa sukari kg 25 faida iwe 900.?
Sasa anayeuza rejareja atapata sh ngapi.?
Huu ni uongo, labla kama sijaelewa mada.
Kama biashara Gani mfanoKwa huo mtaji unapata ROI ndogo sana mkuu. Kuna biashara zinaweza kukupa faida hata ya 20% ya mtaji wako kwa mwezi.
Chaka kama wapi nikapige Moshe ganiHiyo pesa ingiza kwenye Mazao itakuja kunishukuru. Yaani 46M inakuletea laki Tano alafu unapata usingizi?
Kweli wenye michongo hawana pesa na wenye mitaji hawana michongo.
Hiyo pesa unapaswa kuwa imeidabo ndani ya miezi sita na kwa mwaka Uwe na 100M. Ingiza chaka Acha kukaa mjini na pesa yote hiyo inazeeka tu.
Serikalini atakuwa kichaa muda sio mrefu, faida ipo ila mambo ya Kizimkazi yatakutesaTafuta tenda za miradi ya serikali mikoani utapiga hela
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Uingie na data za kutosha Kuna wizi wa mazao live kwa gizaNasoma comment huku nawaza ni biashara gani unaweza fanya kwa mtaji wako huo. Kwa uzoefu wangu mimi ningeingia kwenye kilimo na milion 20
Hujataja location yako. Kama imani yako inaruhusu na wewe unapenda retail business fanya ya vinywaji vikali vya jumla. Uko kuna hela kuliko huo unga unaokuhangaisha bure.Ushauri wako ni upi niingie ktk biashara zipi
Machaka yapo mengi sana. Muhim wewe amua unataka ufanye Mazao Gani na ufanyie wapi. Fanya research ya masoko Yako Kisha njoo nikupe Chaka. Hiyo pesa unaweza kuidabo kwa miezi sita tu.Chaka kama wapi nikapige Moshe gani
Location nzega...ila nawaza vitu pia kuagiza labda kuuzia mtandaoniHujataja location yako. Kama imani yako inaruhusu na wewe unapenda retail business fanya ya vinywaji vikali vya jumla. Uko kuna hela kuliko huo unga unaokuhangaisha bure.
Nimesikia habari za ufuta huko LindiMachaka yapo mengi sana. Muhim wewe amua unataka ufanye Mazao Gani na ufanyie wapi. Fanya research ya masoko Yako Kisha njoo nikupe Chaka. Hiyo pesa unaweza kuidabo kwa miezi sita tu.
Mtandaoni kwa Nzega sijui. Ila kwa retail ya vinywaji vikali na pombe ukiwa supplier wa eneo lako hela na mzunguko unapata. Sifa kuu ya Watanzania ni uvivu, umbea, ulevi na pombe.Location nzega...ila nawaza vitu pia kuagiza labda kuuzia mtandaoni