Bk boy
Member
- Nov 18, 2022
- 19
- 17
Hello
Nafuraha nikiwa kijana ninae mtumikia mungu wakati wa ujana wangu
Ingawa tunapitia kwenye mambo mengi magumu na ya kukatisha tamaa ila tunatumainii mungu yupo siku zote ishi maisha ya uhalisia mpende Mungu jali mda wa ibada ishi maisha ya kitakatifu
Mkono wa Mungu uwe pamoja na ww kabla hujalala chunguza njia zako kisha ungama mungu yupo kwa ajili yako...


Nafuraha nikiwa kijana ninae mtumikia mungu wakati wa ujana wangu
Ingawa tunapitia kwenye mambo mengi magumu na ya kukatisha tamaa ila tunatumainii mungu yupo siku zote ishi maisha ya uhalisia mpende Mungu jali mda wa ibada ishi maisha ya kitakatifu
Mkono wa Mungu uwe pamoja na ww kabla hujalala chunguza njia zako kisha ungama mungu yupo kwa ajili yako...

