nimekusoma mkuu mjama hizi hazina tija kwani watanzania wengi wameanza kuelewa, watumie njia nyingine ya kujiimarisha wao sio kua vya vingine, hata hivyo hata nchi za wahisani hili wanlielewa upo mwisho wake, saa wameanzaisha magazeti ya kuliangamiza Taifa kila siku habari mbaya mbaya ya kuhsu vyama vya siasa pinzani na CCM