Kwanini nisiamini kwamba aliyehamia CHADEMA ni virus mwenye Lengo mahususi kwenye siasa za upinzani?

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
image.jpeg
Cq7CJISXYAAK3yn.jpg
Cq5QC1oW8AADSmX.jpg
Ipo siku akimaliza lililo mpeleka na yeye atapewa Ukurugenzi wa Baraza la Sanaa la Kiswahli Tanzania(BASATA) kwa mujibu wa taaluma yake kama tuonavyo Mrema leo anavyo kula pension yake baada yakumaliza kazi aliotumwa wakati ule.

Vipo viashiria lukuki ambavyo kimsingi vinahitaji kujipa muda ili tuweze kuupata ukweli wa mambo ulivyo ila siku upinzani ukistuka patakua kumesha kucha.Nalisema hili kama chanzo cha kuamsha hisia na mijadala huwenda ikawa chanzo cha kuupata ukweli.

Alivyo ni kama mdudu sondo anapekecha ndani kwa ndani,ukweli hujulikana pale mti unapo anguka ndipo unaweza kutambua ni nini chanzo cha tatizo.

Hivi kati ya sasa na kabla ya ujio wake upinzani,hali ya NCCR mageuzi ilikuaje?.Ukiachilia mbali NCCR kupoteza wabunge karibia wote lakini ukitizama mwenendo wa Mbatia utagundua ni kama mtu anayeburuzwa na kitu fulani nje ya yeye mwenyewe kwani kwa sasa NCCR imekua kama branchi ya Chadema.

Sasa tunaona CUF kunafukuto kubwa,lakini maswali ya msingi hapa ni kipi chanzo cha hili fukuto linalotokea sasa?Kama huu ujio usingekuepo je hiki kinachojitokeza CUF leo kingekuepo?Ni nini itakua hatma ya haya yanayoendelea?

Nadiriki kusema hata CDM inastahili pongezi kwa walau kuwa hai hata leo ila dira ilionesha kusambaratika mapema mara tu mwanasiasa huyu alipotinga upinzani.

Jaribu kutizama baadhi ya matukio yaliokua yakijitokeza na kauli za baadhi ya watu na hapa ningependa tujikumbushe maneno yaliopatwa kutamkwa na baadhi ya watu mashughuri nchini,

"Chadema kusambaratika kabla ya uchaguzi ujao".Haya ni maneno ya Steven Wasira ambayo kwa sasa yanaonekana kama vile Wasira aliropoka,lakini kwa matukio yaliojitokeza CDM na hata sasa je ni kweli wasira aliropoka ama ndani yake upo mkakati juu ya kile alichokisema?

"Chadema kuna kirusi,je unakijua kirusi hiki ni nani?.Na the motive behind".Hii ilikua ni thread iliokwisha wahi anzishwa humu na mwana jf mkongwe Pasco 6/4/2013.Lakini chanzo cha Pasco kuanzisha thread hii ilikua ni maneno ya ZZK ambapo alitahadharisha wakati ule akisema;
"kuna kirusi ndani ya Chadema ambacho kinakitafuna Chadema ndani kwa ndani kwa mtindo wa Kikulacho!".

Japo kirusi hiki kilicho wekwa wazi wakati huo kwa mtindo wa lugha ya picha na mwana JF pasco wakati huo kwa sasa kilisha ondoka ila ni nataka niwakumbushe CDM wakae wakijua imekua ni kama Mkombozi wetu ambaye wakati anaondoka hakutaka kutuacha hivi hivi ila alituachia roho wa kweli ili lililo pangwa lipate kutimia.

Niwakumbushe kurusi hiki kilichozungumzwa wakati ule kilitokea CCM na wakati wote kikiwa ndani ya CDM kilionekana ni shujaa wa kweli kikirusha madongo na makombora ya kila aina kwa serikali,lakini ilikua ni mkakati makini ambao kwa kipindi chote haukuweza kujulikana.

Lipo swali la msingi sana kila mmoja anapaswa kujiuliza,kabla ya hotuba ile ya mwisho pale hotelini ni wangapi walitambua kwamba nguli yule alikua na kazi mahususi tangu siku ya kwanza anavalishwa kombati na kuonekana amesha asi kule alipotoka?

Nichokumbuka baada ya pale tuliwasikia baadhi ya viongozi wakitaka aulizwe kama ile live press conference iligharimu zaidi ya 60m ni nani aligharimia?Lakini mnakumbuka majibu ya muhusika labda niwakumbushe,"Safari karibia zote zakichama za nje ya nchi nilikua nikizigharimia mwenyewe,mbona hamkuuliza wakati ule?".

Leo yupo mtu anaweza kumwaga pesa ma milioni kwa mamilioni lakiniakiulizwa anasema amezipata kwa marafiki zake,hao rafiki zake ni wepi?

Jambo lipi linakufanya uamini kwamba huu ugeni wa sasa ni salama wakati mtindo wa mwanzo ni huu huu ambao unaendelea sasa?

Ni jambo la muda tu lakini ninacho weza kusema,siku litakapokumbukwa shuka kutakua tayarikumesha kucha.
 
Haya uliyoyaandika leo yatakuja kuelewekwa kwa walengwa pengine miaka kama 5 hivi ijayo, nakupongeza sana kwa kujaribu kuvuta taswira kwa ukaribu sana. This is politics and in politics anything is possible.
 
Ipo siku akimaliza lililo mpeleka na yeye atapewa Ukurugenzi wa Baraza la Sanaa la Kiswahli Tanzania(BAKITA) kwa mujibu wa taaluma yake kama tuonavyo Mrema leo anavyo kula pension yake baada yakumaliza kazi aliotumwa wakati ule.

Vipo viashiria lukuki ambavyo kimsingi vinahitaji kujipa muda ili tuweze kuupata ukweli wa mambo ulivyo ila siku upinzani ukistuka patakua kumesha kucha.Nalisema hili kama chanzo cha kuamsha hisia na mijadala huwenda ikawa chanzo cha kuupata ukweli.

Alivyo ni kama mdudu sondo anapekecha ndani kwa ndani,ukweli hujulikana pale mti unapo anguka ndipo unaweza kutambua ni nini chanzo cha tatizo.

Hivi kati ya sasa na kabla ya ujio wake upinzani,hali ya NCCR mageuzi ilikuaje?.Ukiachilia mbali NCCR kupoteza wabunge karibia wote lakini ukitizama mwenendo wa Mbatia utagundua ni kama mtu anayeburuzwa na kitu fulani nje ya yeye mwenyewe kwani kwa sasa NCCR imekua kama branchi ya Chadema.

Sasa tunaona CUF kunafukuto kubwa,lakini maswali ya msingi hapa ni kipi chanzo cha hili fukuto linalotokea sasa?Kama huu ujio usingekuepo je hiki kinachojitokeza CUF leo kingekuepo?Ni nini itakua hatma ya haya yanayoendelea?

Nadiriki kusema hata CDM inastahili pongezi kwa walau kuwa hai hata leo ila dira ilionesha kusambaratika mapema mara tu mwanasiasa huyu alipotinga upinzani.

Jaribu kutizama baadhi ya matukio yaliokua yakijitokeza na kauli za baadhi ya watu na hapa ningependa tujikumbushe maneno yaliopatwa kutamkwa na baadhi ya watu mashughuri nchini,

"Chadema kusambaratika kabla ya uchaguzi ujao".Haya ni maneno ya Steven Wasira ambayo kwa sasa yanaonekana kama vile Wasira aliropoka,lakini kwa matukio yaliojitokeza CDM na hata sasa je ni kweli wasira aliropoka ama ndani yake upo mkakati juu ya kile alichokisema?

"Chadema kuna kirusi,je unakijua kirusi hiki ni nani?.Na the motive behind".Hii ilikua ni thread iliokwisha wahi anzishwa humu na mwana jf mkongwe Pasco 6/4/2013.Lakini chanzo cha Pasco kuanzisha thread hii ilikua ni maneno ya ZZK ambapo alitahadharisha wakati ule akisema;
"kuna kirusi ndani ya Chadema ambacho kinakitafuna Chadema ndani kwa ndani kwa mtindo wa Kikulacho!".

Japo kirusi hiki kilicho wekwa wazi wakati huo kwa mtindo wa lugha ya picha na mwana JF pasco wakati huo kwa sasa kilisha ondoka ila ni nataka niwakumbushe CDM wakae wakijua imekua ni kama Mkombozi wetu ambaye wakati anaondoka hakutaka kutuacha hivi hivi ila alituachia roho wa kweli ili lililo pangwa lipate kutimia.

Niwakumbushe kurusi hiki kilichozungumzwa wakati ule kilitokea CCM na wakati wote kikiwa ndani ya CDM kilionekana ni shujaa wa kweli kikirusha madongo na makombora ya kila aina kwa serikali,lakini ilikua ni mkakati makini ambao kwa kipindi chote haukuweza kujulikana.

Lipo swali la msingi sana kila mmoja anapaswa kujiuliza,kabla ya hotuba ile ya mwisho pale hotelini ni wangapi walitambua kwamba nguli yule alikua na kazi mahususi tangu siku ya kwanza anavalishwa kombati na kuonekana amesha asi kule alipotoka?

Nichokumbuka baada ya pale tuliwasikia baadhi ya viongozi wakitaka aulizwe kama ile live press conference iligharimu zaidi ya 60m ni nani aligharimia?Lakini mnakumbuka majibu ya muhusika labda niwakumbushe,"Safari karibia zote zakichama za nje ya nchi nilikua nikizigharimia mwenyewe,mbona hamkuuliza wakati ule?".

Leo yupo mtu anaweza kumwaga pesa ma milioni kwa mamilioni lakiniakiulizwa anasema amezipata kwa marafiki zake,hao rafiki zake ni wepi?

Jambo lipi linakufanya uamini kwamba huu ugeni wa sasa ni salama wakati mtindo wa mwanzo ni huu huu ambao unaendelea sasa?

Ni jambo la muda tu lakini ninacho weza kusema,siku litakapokumbukwa shuka kutakua tayarikumesha kucha.
Umeongea ukweli mtupu lkn sijui kama watakuelewa zaidi ya kuambulia kejeli na matusi
 
Kwenye siasa kila kitu kinawezeana

Ila kitu unapaswa ujue...Kwa sasa tuna real opposition

Kipindi kile Lowasa na sumaye wako CCM walikuwa wanawajua watu wao waliowapandikiza upinzani..ambao ni kina slaa,Lipumba ,zitto,mrema na wengineo wengi ambao bado ni prominent chadema mfano Ben Saanane ,marando na wengineo.

Baada ya Lowasa kuja hakukuwa na namna wale wanaweza kuendelea ku survive wakati wanajulikana ni kina nani

Kwa maana rahisi kwa sasa tuna opposition ambayo kweli inajua nini ni kupambana na chama tawala
 
Wakati lema yuko ndani kwa aajili ya harakati za ukuta lowasa ameenda kujumuika na chama chake cha zamani kumpongeza Mkapa,tusichoke kusubiri siku moja jibu litapatikana ila Lowasa anakazi maalum huko aliko
 
Nitajie kiongozi mmoja tu wa Upinzani asiyejifungamanisha na CCM nami nitakuelewa.Upinzani kwa muda mrefu umekuwepo ili viongozi WAFISADI Ruzuku na si vinginevyo sasa hiyo virus ina madhara gani kama imewaongezea ruzuku hadi MNATAMANI kujenga UKUTA
 
Malofa watakuja kukupinga lakin muda c mrefu watayaamini.maneno yako
 
View attachment 389159 View attachment 389097 Ipo siku akimaliza lililo mpeleka na yeye atapewa Ukurugenzi wa Baraza la Sanaa la Kiswahli Tanzania(BASATA) kwa mujibu wa taaluma yake kama tuonavyo Mrema leo anavyo kula pension yake baada yakumaliza kazi aliotumwa wakati ule.

Vipo viashiria lukuki ambavyo kimsingi vinahitaji kujipa muda ili tuweze kuupata ukweli wa mambo ulivyo ila siku upinzani ukistuka patakua kumesha kucha.Nalisema hili kama chanzo cha kuamsha hisia na mijadala huwenda ikawa chanzo cha kuupata ukweli.

Alivyo ni kama mdudu sondo anapekecha ndani kwa ndani,ukweli hujulikana pale mti unapo anguka ndipo unaweza kutambua ni nini chanzo cha tatizo.

Hivi kati ya sasa na kabla ya ujio wake upinzani,hali ya NCCR mageuzi ilikuaje?.Ukiachilia mbali NCCR kupoteza wabunge karibia wote lakini ukitizama mwenendo wa Mbatia utagundua ni kama mtu anayeburuzwa na kitu fulani nje ya yeye mwenyewe kwani kwa sasa NCCR imekua kama branchi ya Chadema.

Sasa tunaona CUF kunafukuto kubwa,lakini maswali ya msingi hapa ni kipi chanzo cha hili fukuto linalotokea sasa?Kama huu ujio usingekuepo je hiki kinachojitokeza CUF leo kingekuepo?Ni nini itakua hatma ya haya yanayoendelea?

Nadiriki kusema hata CDM inastahili pongezi kwa walau kuwa hai hata leo ila dira ilionesha kusambaratika mapema mara tu mwanasiasa huyu alipotinga upinzani.

Jaribu kutizama baadhi ya matukio yaliokua yakijitokeza na kauli za baadhi ya watu na hapa ningependa tujikumbushe maneno yaliopatwa kutamkwa na baadhi ya watu mashughuri nchini,

"Chadema kusambaratika kabla ya uchaguzi ujao".Haya ni maneno ya Steven Wasira ambayo kwa sasa yanaonekana kama vile Wasira aliropoka,lakini kwa matukio yaliojitokeza CDM na hata sasa je ni kweli wasira aliropoka ama ndani yake upo mkakati juu ya kile alichokisema?

"Chadema kuna kirusi,je unakijua kirusi hiki ni nani?.Na the motive behind".Hii ilikua ni thread iliokwisha wahi anzishwa humu na mwana jf mkongwe Pasco 6/4/2013.Lakini chanzo cha Pasco kuanzisha thread hii ilikua ni maneno ya ZZK ambapo alitahadharisha wakati ule akisema;
"kuna kirusi ndani ya Chadema ambacho kinakitafuna Chadema ndani kwa ndani kwa mtindo wa Kikulacho!".

Japo kirusi hiki kilicho wekwa wazi wakati huo kwa mtindo wa lugha ya picha na mwana JF pasco wakati huo kwa sasa kilisha ondoka ila ni nataka niwakumbushe CDM wakae wakijua imekua ni kama Mkombozi wetu ambaye wakati anaondoka hakutaka kutuacha hivi hivi ila alituachia roho wa kweli ili lililo pangwa lipate kutimia.

Niwakumbushe kurusi hiki kilichozungumzwa wakati ule kilitokea CCM na wakati wote kikiwa ndani ya CDM kilionekana ni shujaa wa kweli kikirusha madongo na makombora ya kila aina kwa serikali,lakini ilikua ni mkakati makini ambao kwa kipindi chote haukuweza kujulikana.

Lipo swali la msingi sana kila mmoja anapaswa kujiuliza,kabla ya hotuba ile ya mwisho pale hotelini ni wangapi walitambua kwamba nguli yule alikua na kazi mahususi tangu siku ya kwanza anavalishwa kombati na kuonekana amesha asi kule alipotoka?

Nichokumbuka baada ya pale tuliwasikia baadhi ya viongozi wakitaka aulizwe kama ile live press conference iligharimu zaidi ya 60m ni nani aligharimia?Lakini mnakumbuka majibu ya muhusika labda niwakumbushe,"Safari karibia zote zakichama za nje ya nchi nilikua nikizigharimia mwenyewe,mbona hamkuuliza wakati ule?".

Leo yupo mtu anaweza kumwaga pesa ma milioni kwa mamilioni lakiniakiulizwa anasema amezipata kwa marafiki zake,hao rafiki zake ni wepi?

Jambo lipi linakufanya uamini kwamba huu ugeni wa sasa ni salama wakati mtindo wa mwanzo ni huu huu ambao unaendelea sasa?

Ni jambo la muda tu lakini ninacho weza kusema,siku litakapokumbukwa shuka kutakua tayarikumesha kucha.


Kwa kifupi ni kwamba fisadi lowasa kama walivyo Mafisadi wengine wako kwa ajili ya maslahi yao tu na siyo maslahi ya chadema hapo usikute mke lowasa ndiyo kamwambia mume wake kama unataka kuishi hii nchi basi hauna budi kuwa upande wa Pombe Magufuli (PhD) na siyo kuwa dhidi ya Raisi wa JMTZ kwani lowasa ana mengi ya kupoteza kuliko kushinda kwa kuwa dhidi ya Raisi Magufuli!

Kwa TZ huwezi kuwa dhidi ya Raisi wa JMTZ na ukafanikiwa hata Mbowe utamuona tu atasalimu Amri muda siyo mrefu!
 
Kwenye siasa kila kitu kinawezeana

Ila kitu unapaswa ujue...Kwa sasa tuna real opposition

Kipindi kile Lowasa na sumaye wako CCM walikuwa wanawajua watu wao waliowapandikiza upinzani..ambao ni kina slaa,Lipumba ,zitto,mrema na wengineo wengi ambao bado ni prominent chadema mfano Ben Saanane ,marando na wengineo.

Baada ya Lowasa kuja hakukuwa na namna wale wanaweza kuendelea ku survive wakati wanajulikana ni kina nani

Kwa maana rahisi kwa sasa tuna opposition ambayo kweli inajua nini ni kupambana na chama tawala
Na CHADEMA haitoanguka kidhembe, namna hiyo kama mleta uzi anavyofikiri kwa kutoa tahadhari.
Nizidi kumshukuru Mh. Mbowe kwa kusimama kidete katika hilo. Kwa sasa "roots" ya CHADEMA haipimiki kwa "macho" ya juu juu tu, watu tumejifunza mengi kupitia NCCR na CUF, mapungufu yao ya kipindi cha nyuma naweza sema ndio imekua Shule na darasa kwa Chadema ya leo. Na hata kisiposhika Dora leo kwa hila binafsi za watu wachache, lakini nina hakika chama tawala hakitopumua kwa amani kama ilovyokua kipindi cha NCCR na CUF.
Live longer CHADEMA, for suitable development of tomorrow Tanzania... .
Aluta Continua.
 
Wakati lema yuko ndani kwa aajili ya harakati za ukuta lowasa ameenda kujumuika na chama chake cha zamani kumpongeza Mkapa,tusichoke kusubiri siku moja jibu litapatikana ila Lowasa anakazi maalum huko aliko
Potelea mbali, awenayo au asiwenayo, kwa sasa Chadema, akishuka mtu ana panda mtu.
Kwa tabiri na matukio ya usaliti yaliopita, Chadema imejifunza mengi na kuimarika zaidi, hata Mh. Mbowe alishasema ikitokea akafa katika mapambano haya, basi mwili wake uhifadhiwe/uwekwe pembeni, na makamanda tuendelee na mapambano.
Wengi walitegemea kuondoka kwa Dr. Slaa ndio Mwisho wa chama, ila bado pumzi ipo ya kutosha.
Tuliopo mtaani tunajua ni nini kinaendelea.
 
Haya uliyoyaandika leo yatakuja kuelewekwa kwa walengwa pengine miaka kama 5 hivi ijayo, nakupongeza sana kwa kujaribu kuvuta taswira kwa ukaribu sana. This is politics and in politics anything is possible.
Anything being possible doesn't mean it will actually happen. If it does, it will be part of the game. In such games, no clear paths. There are a lot of ups and downs, shortcuts, corners, etc.
 
Wakati lema yuko ndani kwa aajili ya harakati za ukuta lowasa ameenda kujumuika na chama chake cha zamani kumpongeza Mkapa,tusichoke kusubiri siku moja jibu litapatikana ila Lowasa anakazi maalum huko aliko

umesahau na MWALIM PIA
 
Wakati lema yuko ndani kwa aajili ya harakati za ukuta lowasa ameenda kujumuika na chama chake cha zamani kumpongeza Mkapa,tusichoke kusubiri siku moja jibu litapatikana ila Lowasa anakazi maalum huko aliko
Upinzani siyo Uadui. Hawajagombana hawa ni kupishana tu kisiasa.
 
Back
Top Bottom