Mtaani kwetu

Mtaani kwetu

JF2050

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2010
Posts
2,085
Reaction score
45
Wakuu, hapa ninapokaa, kuna uani mkubwa umezungukwa na nyumba upande mmoja, halafu kuna kamba nimefunga mbele ya mlango wa nyumba ninayokaa.

Sasa kuna mashindano yasiyokuwa rasmi yameibuka, kuna wadada watatu, wanakaa nyumba nyingine -opposite, wakifua chupi zao wanakuja kuzianika mbele ya mlango wangu wakati kwao pia kuna kamba.

Siku ya kwanza nilipoamka asubuhi kuziona hivi, dah, duh, karibu nikimbie, maana chupi si chupi, ngalawa si ngalawa, sijui mtumbwi! zingine kama net, nyuzi2, yaani balaa tupu! Subirini nitaanza kuwapa photos update.

Nimeshindwa nifanyeje, niwaambie wasiwe wanaanika? Maana akija mgeni anaweza asinielewe! Masahibu jamani.

Kuna jamaa yangu aliniambia nizipige up.upu, wakivaa watawashwa halafu hawatarudia tena kuanika. Naupata wapi upp wadau?
 
wazo zuri ----- ndo mpango mzima au kama vp wagonge coz wanakutega
 
Hao ni kabila gan hawana haya loo!

Sent from my BlackBerry 9700using Jamie's
 
Hao ni kabila gan hawana haya loo!



Sent from my BlackBerry 9700using Jamie's

Sijui ni kabila gani ila wanaonekana ni makabila tofauti, maana hapo wamepanga, dah!
 
Mkuu hata lugha ya macho hauioni..kula mizigo hyo na kisha tema....

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
Kuwakomesha watundikie condom zilizotumika, zilizo jaa ile protein.
 
ka ukijua kwamba up. upu una washa ile mbaya uogopi hao wadada wata kuomba uwa kune na wakiwa wengi uoni uta hatarisha uhai wako?
 
wanataka ujue nani ndo msafi kwa ndani..sasa uwe unachunguza nani ndo anaongoza kwa kuanika chp nyeusi na nani anaongoza kwa chp nyeupe..halafu ukishajua hivyo nitafute nikupe dawa
 
Kama unaona ni ngalawa chupi, hebu kanunue dazani uwagawie ili kuondoa aibu coz unaweza kuta wamepinda kiuchumi, si unaelewa kwa sasa mpaka chupi zimepanda bei!
Wasaidie wadogo zako.
 
Ushauri wa kipuuzi anza kutoza malipo kwa kila nguo but chup kuwe na dau kubwa kiasi kama 100/-
 
Last edited by a moderator:
Iondoe hiyo kamba, uwe unaifunga unapofua, ukianua nguo zako unaiondoa nayo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom