Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,103
- 9,591
Kwetu wanaiita "Kisungura" aloo vijana wanakuwa wazee kabla ya wakati wao.
Hilo neno la mwisho sasa....ahahhahhhaHii itatuua tena zinanamba kabisa ukipata namba moja nifire
Huo ni mkojo wa shetani
Hapo mwisho jinsi nilivyotafsiri najua mwenyewe hebu edit uandike ni moto.Hii itatuua tena zinanamba kabisa ukipata namba moja nifire