ASHA NGEDELE JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 784 Reaction score 327 Mar 28, 2018 #1 Habari wadau.. Natafuta mtaalamu wa kunivutia nyuki shambani kwangu. Kama kuna mwenye mawasiliano naomba msaada. Shamba liko Mkuranga na malipo nitafanya baada ya nyuki kuhamia kwenye mizinga yangu sababu nishatapeliwa na wataalam hewa.
Habari wadau.. Natafuta mtaalamu wa kunivutia nyuki shambani kwangu. Kama kuna mwenye mawasiliano naomba msaada. Shamba liko Mkuranga na malipo nitafanya baada ya nyuki kuhamia kwenye mizinga yangu sababu nishatapeliwa na wataalam hewa.
Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 6,158 Reaction score 6,302 Mar 28, 2018 #2 Nimeshindwa kukutumia PM, kama upo serious njoo PM. mtaalamu yupo nakupa mawasiliano yake.
Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 6,158 Reaction score 6,302 Mar 28, 2018 #3 mkuu,mtaalamu..anasubiri..mrejesho,wako.
C conservative3 JF-Expert Member Joined Nov 12, 2013 Posts 1,132 Reaction score 807 Mar 28, 2018 #4 shida nyuki waje au umaintain nyuki kwenye shamba,km jibu ni la pili kazi si ndogo,km jibu ni la kwanza kazi itakua ndogo kwa mtaalam husika
shida nyuki waje au umaintain nyuki kwenye shamba,km jibu ni la pili kazi si ndogo,km jibu ni la kwanza kazi itakua ndogo kwa mtaalam husika
ASHA NGEDELE JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 784 Reaction score 327 Mar 28, 2018 Thread starter #5 conservative3 said: shida nyuki waje au umaintain nyuki kwenye shamba,km jibu ni la pili kazi si ndogo,km jibu ni la kwanza kazi itakua ndogo kwa mtaalam husika Click to expand... Nafikiri nahitaji majibu kwa maswali yote mawili
conservative3 said: shida nyuki waje au umaintain nyuki kwenye shamba,km jibu ni la pili kazi si ndogo,km jibu ni la kwanza kazi itakua ndogo kwa mtaalam husika Click to expand... Nafikiri nahitaji majibu kwa maswali yote mawili
ASHA NGEDELE JF-Expert Member Joined Jul 5, 2011 Posts 784 Reaction score 327 Mar 28, 2018 Thread starter #6 Blank page said: Nimeshindwa kukutumia PM, kama upo serious njoo PM. mtaalamu yupo nakupa mawasiliano yake. Click to expand... Nimekufata PM
Blank page said: Nimeshindwa kukutumia PM, kama upo serious njoo PM. mtaalamu yupo nakupa mawasiliano yake. Click to expand... Nimekufata PM