Mtaalamu wa massage anahitajika

Mtaalamu wa massage anahitajika

Nkungulume

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
2,987
Reaction score
1,210
Hodi wana jamvi nahitaji mtaalam wa kunifanyia massage ambaye anauzoefu wa kutosha na awe tayari kufanya huduma hiyo sehemu tofauti na anapofanyia.

Awe mwanamke ambaye atakuwa tayari ani PM kwa makubaliano zaidi.
 
Hapo ulipochagua kuwa lazima awe mwanamke ndio umeharibu kabisaaaaaaa mbona wapo hadi wanaume tena wapi fresh tu
 
N
Basi mkuu kama ni mtaalam ni pm ukinifanyia na mimi nitakuwa nimejifunza nakufanyia na wewe.
Nasusa harufu ya ushoga humu ndani. Wote wapumbavu nyie unashindwa kufanya mazoezi mpaka urambwe rambwe mwili wako? Shenzi kabisa
 
N
Nasusa harufu ya ushoga humu ndani. Wote wapumbavu nyie unashindwa kufanya mazoezi mpaka urambwe rambwe mwili wako? Shenzi kabisa
Mkuu kuna haja gani ya matusi haikuwa lazima uchangie kila mtu na uchaguzi wake.
 
Umenikumbusha siku moja Mwanza nimeenda kunyoa salon moja ya muhindi na yeye ndio kinyozi na pembeni kuna totoz ya kihindi sasa akaniambia vp nifanyiwe scrub nikaitikia kwa kiherehere nikijua fursa ya kufanyiwa scrub na totoz ya kihindi weeeee kumbe ni yeye mwenyewe eti anifanyie niliruka hadi akacheka...nikamwambia waziwazi raha hiyo kitu ufanyiwe na jinsia tofauti
 
Wale 'neutral' huwataki? ambao kwa SHE hawapo, kwa HE hawapo.
 
Back
Top Bottom