Mtaalamu wa kudesign LOGO

Mtaalamu wa kudesign LOGO

FRELIMO

Member
Joined
Apr 12, 2014
Posts
42
Reaction score
4
Mtaalamu wa kudesign logo kwaajili ya logo ya company anahitajika kwa yoyote mwenye utaalamu plz anipe Cost yake, itachukua muda gani? Na anapatikana wap? Bila kusahau kunionesha japo logo sample's kidogo nanaharaka coz nahitaji kumalizia maswala ya TRA.
 
Naweza kusaidia kwa hilo,niPM jina la biashara yako na inajihusisha na nini,baada ya siku mbili ntakutumia Logo yako..malipo utapanga mwenyew baada ya kuipata...Hii pia ni kwa mwingine yeyote mwenye uhitaji wa logo au vitu vingine kama business cards etc.
 
Mtaalamu wa kudesign logo kwaajili ya logo ya company anahitajika kwa yoyote mwenye utaalamu plz anipe Cost yake, itachukua muda gani? Na anapatikana wap? Bila kusahau kunionesha japo logo sample's kidogo nanaharaka coz nahitaji kumalizia maswala ya TRA.

kampuni yako inahusika na nini? hii naamini itawasaidia wabunifu katika kutoa mapendekezo yao
 
Naweza kusaidia kwa hilo,niPM jina la biashara yako na inajihusisha na nini,baada ya siku mbili ntakutumia Logo yako..malipo utapanga mwenyew baada ya kuipata...Hii pia ni kwa mwingine yeyote mwenye uhitaji wa logo au vitu vingine kama business cards etc.

mkuu wewe uhitaji mkataba wa kuhakikisha sample zako ambazo hazitatumika zinakurudia na hazitumiwi bila ridhaa yako?
 
Naweza kusaidia kwa hilo,niPM jina la biashara yako na inajihusisha na nini,baada ya siku mbili ntakutumia Logo yako..malipo utapanga mwenyew baada ya kuipata...Hii pia ni kwa mwingine yeyote mwenye uhitaji wa logo au vitu vingine kama business cards etc.

jina SAMAWATI COMPANY LTD Ina mambo yafuatayo
*stationars
*biashara ya mazao ya chakula na mifugo
*mavazi na uuzaji wa vifaa vya ujenzi.
 
jina SAMAWATI COMPANY LTD Ina mambo yafuatayo
*stationars
*biashara ya mazao ya chakula na mifugo
*mavazi na uuzaji wa vifaa vya ujenzi.
ila iwe ni logo inayosadifu tafsiri ya jina husika
 
Nitakusaidia kwani mm ni mtalaamu wa kudesign logo nitakupm nikuoneshe sample za logo nilizowahi fanya nitafute kwa kunipm mkuu tufanye kazi
Mtaalamu wa kudesign logo kwaajili ya logo ya company anahitajika kwa yoyote mwenye utaalamu plz anipe Cost yake, itachukua muda gani? Na anapatikana wap? Bila kusahau kunionesha japo logo sample's kidogo nanaharaka coz nahitaji kumalizia maswala ya TRA.
 
Kama hujapata ngoja nkufanyie hio kazi leo na nitaupload hapa wasemaje mkuu naomba unipe go ahead
 
Nipe email yako nikutumie sample zangu. Au ni pm.
 
jina SAMAWATI COMPANY LTD Ina mambo yafuatayo
*stationars
*biashara ya mazao ya chakula na mifugo
*mavazi na uuzaji wa vifaa vya ujenzi.
DUH WATZ NAONA MAMBO YA SIKU 2 HAYO,biashara ngumu bwana mhuuu
 
Kitu kama unautaalam nacho mi nadhani inabidi utuoneshe samples ili tuamin unenacho na kama itaridhisha biashara inafanyika kuliko kuweka siasa mara nipe siku mbili ohoo nitumie email vyote vimekamilika bado hakunakilichofanyika.jaman alie serious na biashara atume samples na price ya hiyo kitu OVER
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom