NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,974
- 1,210
Toa contact pls
0768277927
Toa contact pls
SELECT name FROM table WHERE name LIKE babayaro. Sql sucks!
Wanajf kuna rafiki yangu anatafuta nafac ya kutengeneza database kwa makampuni yoyote, na pia yupo vizuri sana kwenye;
1.microsoft word
2.microsoft excel
3.microsoft powerpoint
4.microsoft access (database)
5.internet
Anapatikana Dar es salaam. Pia hata kufundisha yupo tayari.
Much thanks.
;Kiukweli kama anaweza database na anapenda ku deal na database basi mshauri ajitahidi asome na computer programming pia. Maana kwa sifa hizo ulizoorodhesha hapo, sidhani kama zinatosha kwa yeye kudesign na kudevelop database system ambayo itaendana na matakwa ya kisasa....... Huu ni ushauri wangu tu, because I'm the expert on that area.......