Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamii...!
Najileta kwenu nikitafuta kazi kwenye banking sector. Mimi ni mtaalamu wa Corporate Finance (Debt and Equity), Sharia Finance (Islamic Banking) lakini pia mimi ni Mwanasheria. Ninauzoefu wa kazi mwingi nilioupata nje ya nchi nilipokua nimeajiriwa.
Kwa sasa po Tanzania na natafuta kazi haswa on Banking sector or any Law firm inayofanya mambo kama hayo.
Naombeni msaada wenu kama mnafahamu Bank/Law Firm inayohitaji utaalamu huu.
Just PM me.
Najileta kwenu nikitafuta kazi kwenye banking sector. Mimi ni mtaalamu wa Corporate Finance (Debt and Equity), Sharia Finance (Islamic Banking) lakini pia mimi ni Mwanasheria. Ninauzoefu wa kazi mwingi nilioupata nje ya nchi nilipokua nimeajiriwa.
Kwa sasa po Tanzania na natafuta kazi haswa on Banking sector or any Law firm inayofanya mambo kama hayo.
Naombeni msaada wenu kama mnafahamu Bank/Law Firm inayohitaji utaalamu huu.
Just PM me.