Mtaalam wa saikolojia kwa wana michezo

Mtaalam wa saikolojia kwa wana michezo

Qifrishy

Senior Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
169
Reaction score
42
Habar wakuu.
Naweza pata wapi mtu wa saikolojia husasan kwenye maswala ya michezo haswa mpira wa miguu.
Shukrani.
 
Kuna shughuli za semina anahitajika awe ndo muhusika wa kuwa mtoa semina na msimamizi..
 
Hebu kuweni serious watu tupo na utaalam zetu huyo mtu anahitajika wapi na mkoa upi kwa muda gani na malipo yanakuaje please clarify
 
Hebu kuweni serious watu tupo na utaalam zetu huyo mtu anahitajika wapi na mkoa upi kwa muda gani na malipo yanakuaje please clarify

Kama wee ni mtaalam wa hayo mambo nipe contacts zako.
Kazi ni hapa Dar ila sio full time ni kudili na seminars.
Ila zoezi zima ndo liko kwenye hatua za awali.
 
Mi naweza fanya hyo ndo nimegraduate mwaka huu nimesoma psychology,ila mi nina umbo dogo sana na huwa sipendi dharau kwan naweza mchapa mtu mkofi ile hali mda mfupi tulikuwa tunaongea kwa amani kabsa,if interested ni pm
 
Mi naweza fanya hyo ndo nimegraduate mwaka huu nimesoma psychology,ila mi nina umbo dogo sana na huwa sipendi dharau kwan naweza mchapa mtu mkofi ile hali mda mfupi tulikuwa tunaongea kwa amani kabsa,if interested ni pm

hahaha sawa mkuu ni pm contact zako.
 
Back
Top Bottom