Dada Annina,
Nenda pale Chuo cha Ardhi,utapa wapo tele na bei zao poa sana,
Maana wao wanataka wajazie pocket money tu,lakini ukitafuta wale wenye maofisi yao hiyo pesa yake lazima ukimbie wakati hata mwanafunzi wa mwaka wa tatu tu anakupigia poa tu.
Dada Annina,
Nenda pale Chuo cha Ardhi,utapa wapo tele na bei zao poa sana,
Maana wao wanataka wajazie pocket money tu,lakini ukitafuta wale wenye maofisi yao hiyo pesa yake lazima ukimbie wakati hata mwanafunzi wa mwaka wa tatu tu anakupigia poa tu.
Mkuu kile hakiitwi "chuo cha ardhi" ila kinaitwa "CHUO KIKUU ARDHI". Usije ukarudia tena hilokosa kwani unaweza kufungwa miezi 9 jela au fani ya shs. mil 6 au vyote kwa pamoja.., sawa..?
Salaam wapendwa,
Natafuta mtaalam mwelekezi wa landscaping
Shukran
Annina
hahahaha,nimeelewa mkuu