Unapatikana mkoa ganiHabari wadau natafuta mtaalam wa kutengeneza crips nimpe ajira wasiliana kwa 0626333300
Vifaa gani vinahitajika?Hongera kwa kutengeneza ajira kwa vijana!
Kwa maoni yangu,Cripsi hazihitaji utaalamu kiviiile unaweza ukanunua vifaa ukamwelekeza kijana yoyote akafanya!
Kuna vifaa vya maana basi😀😀😀Vifaa gani vinahitajika?
Umesahau na chumvi, crips zake chumvi😋Kuna vifaa vya maana basi😀😀😀
Cha kukatia/kucharangia ndizi,vifungasho,ndizi zenyewe,mafuta,hot chill!!
Imeisha hiyo!
Sawa sawa unaongeza na chumvi,Sasa hapo kunahitaji utaalamu gani zaidi ya maelekezo?Umesahau na chumvi, crips zake chumvi😋
Za Kula nyumbani ukitumia mzuzu wa kuiva zinakuwa tamu hatari!Nazipenda sana Huwa natengeneza za kula nyumbani.
Sometimes mtu unakosa muda, mi mwenyewe huwa natamani kupata mtu wa kunitengenezea vitu vya kula kula crips, kashata nk nk ila sijawahi kupata.Sawa sawa unaongeza na chumvi,Sasa hapo kunahitaji utaalamu gani zaidi ya maelekezo?
Hapo usafi tu na good packagingSawa sawa unaongeza na chumvi,Sasa hapo kunahitaji utaalamu gani zaidi ya maelekezo?
Nimwkucheki, plan kufanya na chicken popcornHabari wadau natafuta mtaalam wa kutengeneza crips nimpe ajira wasiliana kwa 0626333300
Upo wapiHabari wadau natafuta mtaalam wa kutengeneza crips nimpe ajira wasiliana kwa 0626333300
Upo wapi