Mtaala wa elimu

Mtaala wa elimu

Joined
Apr 12, 2019
Posts
19
Reaction score
16
Ndugu, ukipitia vizuri mtaala wa elimu ya sekondari, mapitio ya 2007, utagundua kuwa siku za masomo kwa mwanafunzi wa sekondari kwa mwaka ni 194. Ambapo siku hizo zimegawangwa katika mihula miwili ya masomo, ambapo ktk mihula hiyo kuna mapumziko ya mafupi ya likizo na weekend.

Ninachokifahamu ni kuwa walipanga siku hizo za masomo ambao ni taasisi ya elimu (TIE) walifanya utafiti wakaona zitatoa mapumziko ya kutosha ya akili ya mwanafunzi na kumpa muda mwalimu wa kujiandaa kwa kujisomea vitabu vya kutosha na kujiongezea uelewa kwa ujumla. Ndio maana wahadhiri vyuo vikuu hupewa kinachoitwa sabbatical leave ili wanoe bongo zao.

Kinachoonekana sasa kwenye halmashauri nyingi viongozi hawataki kuamini tafiti hizo za kitaalamu kabisa, ni rahisi kukuta walimu wakiambiwa hakuna kufunga shule kwa madarasa ya mitihani.

Hoja ni jee hizi siku kama zilivyopendekezwa na TIE zimepitwa na wakati? Walimu waendelee kufanya Kazi wakisubiri likizo zao za mwaka kama wafanyavyo wahasibu, manesi, n.k?
Je wanafunzi nao waendelee kupiga kazi bila kupumzika mwaka mzima??
 
Siasa imevuruga mfumo mzima wa elimu Tanzania,hivyo kila afisa elimu anafanya anavyotaka !
 
Hapo tatizo sio serikali wala siasa Bali jamii. Mfano mwezi wa sita ruhusu wanafunzi wa sekondari za kata wafunge na kukaa nyumbani mwezi mzima. Baada ya likizo utaanza upya kufundisha what is physics, what is history. Wanabakizwa shuleni ili kuwajenga kitaaluma na kuwaepushia upuuzi wa mitaani. K[ama unadhani tatizo no siasa au uongozi, chunguza while binafsi ujionee wanapumzika Siku ngapi kwa mwaka. Mfano Tusiime, Marian, Feza na kwingineko.Likizo ya mwanafunzi sio likizo ya mwalimu, mwalimu ni mtumishi kama wengine, anastahili likizo moja tu kwa mwakaQUOTE="Ambuje Akunnungu, post: 31110057, member: 546976"]
Ndugu, ukipitia vizuri mtaala wa elimu ya sekondari, mapitio ya 2007, utagundua kuwa siku za masomo kwa mwanafunzi wa sekondari kwa mwaka ni 194. Ambapo siku hizo zimegawangwa katika mihula miwili ya masomo, ambapo ktk mihula hiyo kuna mapumziko ya mafupi ya likizo na weekend.

Ninachokifahamu ni kuwa walipanga siku hizo za masomo ambao ni taasisi ya elimu (TIE) walifanya utafiti wakaona zitatoa mapumziko ya kutosha ya akili ya mwanafunzi na kumpa muda mwalimu wa kujiandaa kwa kujisomea vitabu vya kutosha na kujiongezea uelewa kwa ujumla. Ndio maana wahadhiri vyuo vikuu hupewa kinachoitwa sabbatical leave ili wanoe bongo zao.

Kinachoonekana sasa kwenye halmashauri nyingi viongozi hawataki kuamini tafiti hizo za kitaalamu kabisa, ni rahisi kukuta walimu wakiambiwa hakuna kufunga shule kwa madarasa ya mitihani.

Hoja ni jee hizi siku kama zilivyopendekezwa na TIE zimepitwa na wakati? Walimu waendelee kufanya Kazi wakisubiri likizo zao za mwaka kama wafanyavyo wahasibu, manesi, n.k?
Je wanafunzi nao waendelee kupiga kazi bila kupumzika mwaka mzima??
[/QUOTE]
 
Ndugu, ukipitia vizuri mtaala wa elimu ya sekondari, mapitio ya 2007, utagundua kuwa siku za masomo kwa mwanafunzi wa sekondari kwa mwaka ni 194. Ambapo siku hizo zimegawangwa katika mihula miwili ya masomo, ambapo ktk mihula hiyo kuna mapumziko ya mafupi ya likizo na weekend.

Ninachokifahamu ni kuwa walipanga siku hizo za masomo ambao ni taasisi ya elimu (TIE) walifanya utafiti wakaona zitatoa mapumziko ya kutosha ya akili ya mwanafunzi na kumpa muda mwalimu wa kujiandaa kwa kujisomea vitabu vya kutosha na kujiongezea uelewa kwa ujumla. Ndio maana wahadhiri vyuo vikuu hupewa kinachoitwa sabbatical leave ili wanoe bongo zao.

Kinachoonekana sasa kwenye halmashauri nyingi viongozi hawataki kuamini tafiti hizo za kitaalamu kabisa, ni rahisi kukuta walimu wakiambiwa hakuna kufunga shule kwa madarasa ya mitihani.

Hoja ni jee hizi siku kama zilivyopendekezwa na TIE zimepitwa na wakati? Walimu waendelee kufanya Kazi wakisubiri likizo zao za mwaka kama wafanyavyo wahasibu, manesi, n.k?
Je wanafunzi nao waendelee kupiga kazi bila kupumzika mwaka mzima??
EKA PENEPO NKOMILE KHAJE AMBUJE AKUNNUNGU!

UMENENA VEMA HIYO HOJA IPO KITAALAMU ZAIDI.
WALIMU NI LAZIMA WAPUNZIKE KAMA ILIVYOPENDEKEZWA !!
 
Back
Top Bottom