Mtaa MZIMA Wamagufulika

[video]http://whatsappvidz.com/halima-mdee-atoa-maneno-machafu-kuhusu-magufuli-kupiga-push-up/[/video]
 


Hii ni ishara ya UKAKAMAVU kwa Amiri Jeshi Mkuu

ni wa kuhurumia tu

baada ya jumapili watarejea kwenye shida zao na mwisho wa siku wanapitisha bakuli kuomba pesa ya matibabu na ada za shule

watu kama hao ni kuwatosa tu

hawajui watendalo
 
Hii ni ishara ya watu wapumbavu wasiojua maana ya siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…