PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,097
- 29,886
Naunga mkono hoja yako.Fresh sana,2015 walipiga push up sana wakina JB,RICHIE,STEVE NYERERE etc.
Kwanza ningependekeza ipitishwe sheria kwa hati ya dharura hizo DVD/VCD za bongo movies makasha yao yasiwe na picha zozote zile yawe plain tu,ukiweka picha kwenye kasha linakua kosa la uhujumu uchumi(hakuna dhamana ni ndani tu).