Msuva kwenda Benfica ni taarifa 'fake'

Msuva kwenda Benfica ni taarifa 'fake'

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,498
Reaction score
28,723
Hazikuwa taarifa Rasmi juu ya Simon Msuva kujiunga na Klabu ya Benfica kama baadhi ya vyombo vya habari vilivyoripoti.

Msuva bado ni mchezaji halali wa Klabu ya Difaa Hassani El Jadidi [emoji1173].

#SportsXtra
 
Januari 17, 2020, kacheza na kutingisha nyavu.
Screenshot_20200121-142240__01.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
akaze buti msimu huu laiti kama isingekua janga la corona basi team za taifa zilkua ziende kwenye michuano ya kimataifa,hivyo basi kama akiprove basi mawakala watamuona.
 
Back
Top Bottom