Masika hii mke wako yupo busy na vikoba na Tamthilia za Azam😆
Wanawake wenye akili wapo shambani
“Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani....Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. —Mithali 31:10,16-17”
Wanawake wenye akili wapo shambani
“Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani....Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. —Mithali 31:10,16-17”