Msukuma live tena Star tv siku ya leo

Msukuma live tena Star tv siku ya leo

Kinazidi kukolea tu siku hadi siku tunasubili aje na hoja ya kuruhusu watu watembee wakiwa utupu hii sijuwi tutaomba mfano uanze na yeye!!!
 
Nani anafuatilia huyo kichwa sifuri?
Hivi ni kichaa!! Mbona Lowasa alisimamisha mkutano wake Arusha wakati wa kampeni ndani ya ccm mpaka msukuma alipotua eneo la mkutano na chopa yake!!

Kwa hiyo Lowasa anathamini sana vichaa!!
 
Eti anahoji iweje Kenya wameruhusu Mirungi ila sisi tunapiga marufuku.

Na mbona ahoji kwanini Marekani na Uingereza wameruhusu ushoga na sisi tumekataza?
 
Katika mambo yooote yanayoikabili Tanzania yeye kaona tatizoletu kubwa hatulimi bangi na mirungi?!? Doh...
 
Back
Top Bottom