Kesho Jumapili 20.04.2014 kuanzia saa 3 asubuhi,FGBF Mwenge Dar es salaam, Mtumishi wa Mungu Askofu Zachary Kakobe na ambaye pia ni Mhubiri wa Kimataifa atafundisha maelfu elfu na kuwabariki wote watakaohudhuria.Pia atatoa maarifa ya msingi juu ya mambo kadhaa kuhusiana na nchi yetu ya Tanzania na yale yanayoendelea kwasasa.