SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Jukumu la kumnadi Mgombea apewe Mwanafamilia Baba mdogo wa taifa. Apewe mafungu pamoja na Ndege/helikopta
Huyo ndio baba mdogo wa taifa🐼Mhhhh
Kizuri chajiuza kibaya chajitembezaJukumu la kumnadi Mgombea apewe Baba mdogo wa taifa. Apewe na mafungu
Kuna tatizoJukumu la kumnadi Mgombea apewe Baba mdogo wa taifa. Apewe na mafungu
Wagombea kutoka vyama vya upinzani;Kumnadi kushindana na upepo au? Waoneeni waTanzania huruma jamani; kwani lazima afanye kampeni hata kama hashindani na mtu?
Uzalendo wake uko wapi? Au imeishia kwenye mabango? Hizo pesa za kampeni kanunueni Madawati au vifaa vya kufundishia watoto wetu wapate maarifa.
Perekeni kiasi kidogo pale shule ya Msingi Bunge karibu na Ikulu ya Dar...shule ile ina hali mbaya sana.
Wapi wametangaza nia ya kugombea?Wagombea kutoka vyama vya upinzani;
1. Prof Ibrahim H. Lipumba (PhD),
2. Adv. Hashimu Rungwe Spunda (CHAUMMA),
Punguza ujuajiMgombea lini kazunguka kupata wadhamini Barua na Visiwani!!
Jibu swaliPunguza ujuaji
Kwanini hampendi kuambiwa UKWELIPunguza ujuaji
JkBaba wa Taifa mdogo ni nani huyo?