mspada namna ya kutumia Operamini

mspada namna ya kutumia Operamini

Quezon

Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
42
Reaction score
18
Habari zenu wakuu!!
kabla sinaenda kwenye mada husika, ninatunguliza swali langu, nime-update operamini yangu ya zamani na sasa ninaitumia mpya. shida inakuja pale ambapo ninashindwa ku-save pages zangu ili kuweza kuzisoma nikiwa offline. kwa yeyote ambaye anaweza kutupa maelekezo ya namna ya kufanya hapa jamvini nitashukuru sana. asanteni...
 
hata mimi mkuu sijajua namna ya ku-save page
 
Habari zenu wakuu!!
kabla sinaenda kwenye mada husika, ninatunguliza swali langu, nime-update operamini yangu ya zamani na sasa ninaitumia mpya. shida inakuja pale ambapo ninashindwa ku-save pages zangu ili kuweza kuzisoma nikiwa offline. kwa yeyote ambaye anaweza kutupa maelekezo ya namna ya kufanya hapa jamvini nitashukuru sana. asanteni...
Operamini YAUA tatu Mwanza!!!!!!!!!! Pumbavu zako. nenda zako fesibuku ndio kuna wenzako huko.
 
Akili za kipumbavu changa na ujinga..!!!!
 
​daahhhh nilivyoona heading nikatupa simu yangu, nikajua Opera Mini imeua watu watatu Mwanza
 
fungua page unayotaka kuna kialama cha jumlisha juu kibonyeze utaona save page for offline
 
Back
Top Bottom