Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,225
- 36,239
Hahahahhaa we jamaa umenikumbusha wakati nasoma sekondari miaka hiyo somo la kiswahili kipengele uchambuzi wa vitabu - riwaya na kitabu chenyewe kilikuwa Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe.
Mwalimu alikuwa anaitwa Mr. Mukebezi ..... heheheheh
Kilichonifanya nikumbuke ni kuwa kila akiingia darasani wakati tunajadili hicho kitabu alikuwa na maneno/maswali lazima ayaseme/ayaulize kabla
ya kuanza kufundisha.
Alikuwa na lafudhi ya kilugha cha kabila lake... wale wa kanda ya ziwa. In his voice alikuwa anauliza hivi......
Mukebezi: leo tunasoma kitabu gani?
Darasa: Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe
Mukebezi : Dhamira kuu ni nini?
Darasa: Mapenziiiiiii.....
Basi baba Mukebezi alikuwa anafurahiii na hadi tumemaliza kujadili hiko kitabu na kuhamia kitabu kingine bado alikuwa anataka akiulizwa. ... dhamira kuu ni nini....... darasa lijibu Mapenziiiiiiiii
Wacha niendelee kuburudika na hili jinyimbo.....
..... baby PANA...... baby PANA. ...... (being in love with the music....)
It's Friiiiddaaaaayyyyyyyyyy!!!!!!!!! iiiiiiimooooooooo....!!!
Mwalimu alikuwa anaitwa Mr. Mukebezi ..... heheheheh
Kilichonifanya nikumbuke ni kuwa kila akiingia darasani wakati tunajadili hicho kitabu alikuwa na maneno/maswali lazima ayaseme/ayaulize kabla
ya kuanza kufundisha.
Alikuwa na lafudhi ya kilugha cha kabila lake... wale wa kanda ya ziwa. In his voice alikuwa anauliza hivi......
Mukebezi: leo tunasoma kitabu gani?
Darasa: Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe
Mukebezi : Dhamira kuu ni nini?
Darasa: Mapenziiiiiii.....
Basi baba Mukebezi alikuwa anafurahiii na hadi tumemaliza kujadili hiko kitabu na kuhamia kitabu kingine bado alikuwa anataka akiulizwa. ... dhamira kuu ni nini....... darasa lijibu Mapenziiiiiiiii
Wacha niendelee kuburudika na hili jinyimbo.....
..... baby PANA...... baby PANA. ...... (being in love with the music....)
It's Friiiiddaaaaayyyyyyyyyy!!!!!!!!! iiiiiiimooooooooo....!!!