mi hakili yangu naijua sio mgando kabsaaa mh lakini ndugu hii story yako sijaielewa kabsaaa yani haieleweki nini tena unajaribu kuelezea nini eti, siajambua hata moja. Jesus is my home boy.
Ooh hapa sasa nimekupata, maelezo mafupi bt nimeyaelewa zaidi. Thanx.ukizoe kutongoza usiku uwezi elewa nilichosema;;soln
acha mpende mwenzio kama ni kutongozana tongozaneni mkiwa mchana kweupe....kwa kukusaidi huyu bana alikutana na binti usku akapenda.akachukua namba keshoye alipomwona akachomoa si yeye na hapo
else tumwombe kikwete msada wa elimu ya bure
kaka mmoja alikuwa akitoka ofisini gafla akaniambia ndugu twende tukale msosi pale rose garden
nkamwambia naupenda wa breakpoint akakataa kabisa m nikamwambia nishshe hapa
kumbe kijana jana usiku alikuwa kwenye mtaa wa watu akakutana na kabinti kamija akaomba namba ya simu anavyodai wakaonana wakatongozana lakini ilikuwa gizan kidogo
alimuahidi kumeet rosegarden gafla akamwambia njoo hapa millenium tower unaijua akasema hapana m nimetoka iringa sina mwezi..nkamwambia hao wale wale watchout ukienda opote niachie vitu vyako utamkuta posta ukifanya mchezo akasema subiri kaka..akamwambia basi tax sh ngapi akaambiwa alfu 2
akasema lipa ntakuja kukupa
binti akaenda na kashuka ;akalipa tax ikaondoka.sie tulikuwa kwenye parking tunamsubiria tuvuke kwenda millenium..jaman wanaume sie..jamaa akapiga simu kusema mbona afiki...akamwambia nimeshafika saa nyingi..nikamwambia si yule anaepokea akasema sio yule nkamwambia piga akapiga binti akapokea
akika dhambi kubwa inayotutesa ni tamaa ukiacha uongo..jamaa akapiga tena akika sikuamini akapitiliza na kwenda bar nikamwambia ni bindamu yule akasema kaka demu gani wewe yaani hata sijui ilikuwaje nkamwambia mwambie samahani nina haraka mpe na buku zake 2 jamaa akakataa katakata
so nawaomba najua mpaka ndoa mlolongo mrefu ila ukichagua jitahdi kuepuka mapenzi ya gizani mtakuja kukimbia watu tena na kujiongezea dhambi yamkini yule dada akuwa na nauli ya kurudi labda ...anyway
tuwe makini na hili
WANA JF
...bia za offerHakieleweki kitu mpwa..
Tatiozo ni nini?
Bia za Rose Garden au ??
kaka mmoja alikuwa akitoka ofisini gafla akaniambia ndugu twende tukale msosi pale rose garden
nkamwambia naupenda wa breakpoint akakataa kabisa m nikamwambia nishshe hapa
kumbe kijana jana usiku alikuwa kwenye mtaa wa watu akakutana na kabinti kamija akaomba namba ya simu anavyodai wakaonana wakatongozana lakini ilikuwa gizan kidogo
alimuahidi kumeet rosegarden gafla akamwambia njoo hapa millenium tower unaijua akasema hapana m nimetoka iringa sina mwezi..nkamwambia hao wale wale watchout ukienda opote niachie vitu vyako utamkuta posta ukifanya mchezo akasema subiri kaka..akamwambia basi tax sh ngapi akaambiwa alfu 2
akasema lipa ntakuja kukupa
binti akaenda na kashuka ;akalipa tax ikaondoka.sie tulikuwa kwenye parking tunamsubiria tuvuke kwenda millenium..jaman wanaume sie..jamaa akapiga simu kusema mbona afiki...akamwambia nimeshafika saa nyingi..nikamwambia si yule anaepokea akasema sio yule nkamwambia piga akapiga binti akapokea
akika dhambi kubwa inayotutesa ni tamaa ukiacha uongo..jamaa akapiga tena akika sikuamini akapitiliza na kwenda bar nikamwambia ni bindamu yule akasema kaka demu gani wewe yaani hata sijui ilikuwaje nkamwambia mwambie samahani nina haraka mpe na buku zake 2 jamaa akakataa katakata
so nawaomba najua mpaka ndoa mlolongo mrefu ila ukichagua jitahdi kuepuka mapenzi ya gizani mtakuja kukimbia watu tena na kujiongezea dhambi yamkini yule dada akuwa na nauli ya kurudi labda ...anyway
tuwe makini na hili
WANA JF
mi hakili yangu naijua sio mgando kabsaaa mh lakini ndugu hii story yako sijaielewa kabsaaa yani haieleweki nini tena unajaribu kuelezea nini eti, siajambua hata moja. Jesus is my home boy.
edit kidogo stori inaonekana ni nzurikaka mmoja alikuwa akitoka ofisini gafla akaniambia ndugu twende tukale msosi pale rose garden
nkamwambia naupenda wa breakpoint akakataa kabisa m nikamwambia nishshe hapa
kumbe kijana jana usiku alikuwa kwenye mtaa wa watu akakutana na kabinti kamija akaomba namba ya simu anavyodai wakaonana wakatongozana lakini ilikuwa gizan kidogo
alimuahidi kumeet rosegarden gafla akamwambia njoo hapa millenium tower unaijua akasema hapana m nimetoka iringa sina mwezi..nkamwambia hao wale wale watchout ukienda opote niachie vitu vyako utamkuta posta ukifanya mchezo akasema subiri kaka..akamwambia basi tax sh ngapi akaambiwa alfu 2
akasema lipa ntakuja kukupa
binti akaenda na kashuka ;akalipa tax ikaondoka.sie tulikuwa kwenye parking tunamsubiria tuvuke kwenda millenium..jaman wanaume sie..jamaa akapiga simu kusema mbona afiki...akamwambia nimeshafika saa nyingi..nikamwambia si yule anaepokea akasema sio yule nkamwambia piga akapiga binti akapokea
akika dhambi kubwa inayotutesa ni tamaa ukiacha uongo..jamaa akapiga tena akika sikuamini akapitiliza na kwenda bar nikamwambia ni bindamu yule akasema kaka demu gani wewe yaani hata sijui ilikuwaje nkamwambia mwambie samahani nina haraka mpe na buku zake 2 jamaa akakataa katakata
so nawaomba najua mpaka ndoa mlolongo mrefu ila ukichagua jitahdi kuepuka mapenzi ya gizani mtakuja kukimbia watu tena na kujiongezea dhambi yamkini yule dada akuwa na nauli ya kurudi labda ...anyway
tuwe makini na hili
wana jf
umenikumbusha mbali sana mkuu juzi kati kunajamaa yangu alitongoza demu kizani mara wakakubaliana jamaa akamchukua yule demu hadi kwake alipowasha taa kumwangalia yule demu kakondeana alifu anavipele jamaa akanibeep baada ya kumpigia me nashangaa ananiambia nakuja sasa hivi akamwambia yule demu twendezetu tutarudi tena kunajamaa ananiita walipotoka jamaa ndo ikawa pona pona yake!
Umenikumbusha mbali sana mkuu juzi kati kunajamaa yangu alitongoza demu kizani mara wakakubaliana jamaa akamchukua yule demu hadi kwake alipowasha taa kumwangalia yule demu kakondeana alifu anavipele jamaa akanibeep baada ya kumpigia me nashangaa ananiambia nakuja sasa hivi akamwambia yule demu twendezetu tutarudi tena kunajamaa ananiita walipotoka jamaa ndo ikawa pona pona yake!
Ooh so sad, mtu kufa kwa uzembe wa tamaa zake mungu amlaze mahala pema maskini.kuokota okota kutawaponza wengi,sasa inamaana huyo dada alikua kavaa miguo mingi hadi jamaa yako ashindwe kumuona alivyokonda hadi wafike chumbani ndo amuone au?maana mtu aliyekondeana hadi usoni unamuona tu.anyways,kaka zetu kuweni makini tunawahitaji.