Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Baada ya kuboreka na mawaidha ya sheikh, waumini wote walisepa isipokuwa muumini mmoja. Sheikh alipogeuka nyuma na kumwona akamsifia kwa kumwambia kwamba yeye ni muumini
pekee mwenye imani ya kweli.
Yule muumini akajibu;acha longo longo wewe, unazidi kunichelewesha, umekalia mkeka wangu!
pekee mwenye imani ya kweli.
Yule muumini akajibu;acha longo longo wewe, unazidi kunichelewesha, umekalia mkeka wangu!