Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,530
- 37,949
Unakimbia wapi wewe njoo hapa
Unakimbia wapi wewe njoo hapa
Koma
Hesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.
Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.
Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....
Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park
Povu ruksa...
Mchaw huyu mzeeBujibuji i salute you mkuu
umepoteasare
Mkuu siku nyingine uwe na heshimaWewe uliwahi kuucheza mpira au ni ushabiki tu??!! .
Mpira ni dakika tisini
wewe nikudanganye nini,hujui mpiraendelea kujidanganya...llazma ndoo inyanyuliwe leo
wewe na refa wako ndio hamjui mpira...hata kudanganya hajui ..penati ya wazi kabisa anapeta ,sasa nimejua kwanini England hajachukkuliwa refa kombe la duniawewe nikudanganye nini,hujui mpira
nipe matokeoLeo Manchester united anakufa vizuri mno