Msiposema usaliti wa Lissu kaeni Kimya!

Msiposema usaliti wa Lissu kaeni Kimya!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,842
Reaction score
50,556
Kuna jambo linakera sana humu JF. Kuna watu kila wakati wao ni kusema tu Lissu ni msaliti, lakini ukiwauliza usaliti wa Lissu ni nini hawana la kujibu zaidi ya kusema anashirikiana na wazungu kutuhujumu. Na ukiwauliza anashirikiana nao vipi wanakaa kimya kama wamepigwa shoti ya umeme.

Kama nyie watu mnaomuona Lissu ni msaliti hamna ushahidi ama hoja ya kuthibitisha hata kwa mazingira tu kwamba Lissu ni msaliti kaeni kimya. Kama mnadhani uzalendo ni kuunga mkono kila jambo linalofanywa na serikali basi nyie hamjui maana ya Uzalendo.

Wengine wanasema kwamba Lissu anavujisha siri kwa wazungu, ujinga mtupu. Yaani mkataba uko serikalini na kwa wawekezaji, sasa hapo nani wana siri kati ya Lissu na Serikali pamoja na wawekezaji wao?

Lissu kila siku anapigania mikataba iwekwe wazi kwa wabunge serikali inakataaa, leo mnasema kwamba Lissu anavujisha siri kwa wawekezaji wa kizungu, ni siri gani hizo alizo nazo Lissu ambazo Serikali na wawekezaji hawana?
 
Sio hilo tu. Utawasikia wanasema lissu anaitukana serikari, lakin huwez ona wameorodhesha matusi ya lissu. Huu ni ujinga uliopitiliza
 
Haya sasa mi nashangaa eti umoja wa wabunge wanawake walianzisha kampeni ya kuosha magari ili wapate hela ya ujenzi wa choo bora. Sasa jiulize kodi tunalipa trilioni 15 ila kinachoshangaza bado watuombe tena sadaka ya kuchangia

Hivi tumelogwa kwa uganga gani jamni maana nayo wabunge walipendekeza iongezwe sh. 50 kwenye mafuta

iIa Mungu anawaona CCM

samahani nadhani nimepotea njia
 
Wewe ni nani mpaka uwazuie watu kusema? Mpelekee salam huyo msaliti wenu huko hospital umwambie huku ujenzi wa sgr unaendelea, lile dude toka boeing lieshaingia, tra wameongeza makusanyo ya kodi, barabara za lami zinajengwa, hospitali zinajengwa, nk. Mwambie awaambie hao mabwanaze kuwa tanzania tumemua kujiletea maendeleo yetu kwa juhudi zetu wenyewe.
Btw, kuna dude jingine limeshawekwa order tayari, nalo asisahau kuwashitakia.
Bottom line: usaliti hautamwacha salama.
Augue pole, anyway.
 
Wewe ni nani mpaka uwazuie watu kusema? Mpelekee salam huyo msaliti wenu huko hospital umwambie huku ujenzi wa sgr unaendelea, lile dude toka boeing lieshaingia, tra wameongeza makusanyo ya kodi, barabara za lami zinajengwa, hospitali zinajengwa, nk. Mwambie awaambie hao mabwanaze kuwa tanzania tumemua kujiletea maendeleo yetu kwa juhudi zetu wenyewe.
Btw, kuna dude jingine limeshawekwa order tayari, nalo asisahau kuwashitakia.
Bottom line: usaliti hautamwacha salama.
Augue pole, anyway.
Nasikia tanzanite yetu watu wanabeba licha ya kuta kuuuubwa kujengwa.
 
Wewe ni nani mpaka uwazuie watu kusema? Mpelekee salam huyo msaliti wenu huko hospital umwambie huku ujenzi wa sgr unaendelea, lile dude toka boeing lieshaingia, tra wameongeza makusanyo ya kodi, barabara za lami zinajengwa, hospitali zinajengwa, nk. Mwambie awaambie hao mabwanaze kuwa tanzania tumemua kujiletea maendeleo yetu kwa juhudi zetu wenyewe.
Btw, kuna dude jingine limeshawekwa order tayari, nalo asisahau kuwashitakia.
Bottom line: usaliti hautamwacha salama.
Augue pole, anyway.
Moja ya watu wanaodhani wanaelewa kumbe hawajui kinachoendelea. Usiimbe tuu kama kasuku jielimishe ili usemalo uwe unalijua.
 
Kama sisi wenyewe tunawaruhusu, tunawasaidia, tunashiriki na hata kushangilia huo ubebwaji hapo mjinga ni nani sasa?
huyo aliyewadanganya mtumie resources zenu kujenga bila kuchukua ushauri bora Wa ulinzi una. Uhakika nae?
Hivi waibaji wapo wanaotoka nje ya ccm
 
Back
Top Bottom