Msimu wa sikukuu wafuatao ndio muda wao sasa

Msimu wa sikukuu wafuatao ndio muda wao sasa

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Msimu wa sikukuu ndio kipindi cha watu kupata mapato mengi ukilinganisha na miezi mingine.

1 Huduma za Usafiri na sheli.
2. Masokoni, minadani, maduka makubwa na wauza nguo.
3. Wauza vileo, kumbi za starehe, Wasanii(Hapana wafanye kazi kwanza) na wauzaji wa vyakula vizuri.

Kama hujatunza Pesa ndio wale wanasema subiri nijipange mwakani 🍺😔.

20251213_135058.jpg
 
Back
Top Bottom