Msimamo wangu

Kwenye umri wa 20 to 30years haya maneno ya kwaida ...menopose ikikaribia yote hayo yanakuwa kinyume chake
 
Natamani mke kama wewe aisee,kila mtu angekuww na vitu vyake, siku tukizinguana kilq mtu anaelekea uelekeo wake ndo kubanana. Pia ningekuwa huru kuoa nitakavyo maana wewe unapenda mfumo dume, ningekuwa nagonga hadi beki 30, wadogo zako,nakazalika
 
Natamani mke kama wewe aisee,kila mtu angekuww na vitu vyake, siku tukizinguana kilq mtu anaelekea uelekeo wake ndo kubanana. Pia ningekuwa huru kuoa nitakavyo maana wewe unapenda mfumo dume, ningekuwa nagonga hadi beki 30, wadogo zako,nakazalika
Kila mtu awe na vitu vyake kivipi sasa wakati vyako vyetu?
 
Unadhan hata huyo mume una uwezo wa kumpata basi? Hela hauna, sura hauna, nani anataka zigo hilo?
 
Unadhan hata huyo mume una uwezo wa kumpata basi? Hela hauna, sura hauna, nani anataka zigo hilo?
Aiseee

Kwahiyo mkuu hapa niandike tu maumivu si eti? Au niendelee tu kujifariji?
 
Kumbe msiamo tu!!!

2014-2019 unatekeleza huo msimamo wako kwenye hiyo ndoa yako ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…