Msimamo wangu

Wanawake wa aina hii na + waswahili niwakukwepa kwa gharama yoyote ile usipo wa kwepa utakufa mapema kwa mawazo.
 

Aiseeh hakuna kitonga express hapo, msimamo wako lakini hayo mapovu yanayotoka upande wa pili ahahahaaaaaa mpaka huruma.
 
Utakua unapata wanaume wa aina yako,wale amabo ndoa inaanza saa tatu usiku inaishia saa kumi na moja asubuhi
 
Kumbe eeeeh
 
Naomba nisem igwe igwenigwe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…